Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Hapo kwenye Red nadhani utakuwa unakishindilia hicho kitu kichwani sio kukitoa.....Fanya activities yoyote unayoipenda mfano music, games, movies, going out in a quite place.
Mimi huwa, ninajifungia room, nazima simu then naweka headphone, nafungulia mziki ninaoupenda (mfano Rock and Metal), huku nikicheza kwa furaha, kama kuna ufagio nitaufanya guitar, huku nashake kichwa, sometime nina pretend ndio drummer au lead singer kwenye show fulani, lol...i love Music. {sounds crazy}
it works.
#ROCK AND ROLL
Sometime ninafanya MEDITATION, kama wewe ni mpole, and hupendi fujo faja MEDITATION, ni nzuri kuliko kunywa pombe.
umeshawahi kuweka headphones kwa masikio na kuweka music lakini ukawa huusikilizi huo mziki??