Free Internet to all JF members with A MAGIC SIM CARD(No payment required)

Lol!sasa ntakupa je mm ninapo create usernem na passwd maana mm nimehack VPN provider fulani na naweza ku-create usernem ikawa recognized kwenye Database zao

VPNBook,Kebrum VPN na Peoples VPN ndo ninazo tumia sasa na ingia online soma kwenye Blog za wahindi utakuta wana-HACK AIRTEL India kwa kutumia Configs kutoka Kebrum VPN

Msomi handanganywi tumia Google acha kutamka maneno na kudiscourage wengine umeshindwa walipe wahindi wakutengenezee

sijasema kam hazifanyi kazi.. unajua kam kuna watu hata kufungua e-mail hawajui then unampelekea aconfigure kebrum vpn ambayo ina limitation kibao kwa free user,, tabu yote ya nini si mpm mkuu paje ule unlimited ya ukweli kwa elfu 8 tu kwa mwez.
 
sijasema kam hazifanyi kazi.. unajua kam kuna watu hata kufungua e-mail hawajui then unampelekea aconfigure kebrum vpn ambayo ina limitation kibao kwa free user,, tabu yote ya nini si mpm mkuu paje ule unlimited ya ukweli kwa elfu 8 tu kwa mwez.

Sasa mtu ambaye hajui kufungua email kwenye hii thread anatafuta nn?
Kebrum VPN iko poa inategemea na matumizi yako
mfano mm situmii torrent nambie limitation ntakayoipata nikitumia kebrum VPN
Mbona hauongelei VPNBOOK,PeoplesVPN, nk
Yaani hiyo ni mifano shughulish kichwa kaka mambo marahisi sana unafikiri mm nimeyjua je?
Mbuyu ulianza kama mchicha kaka unafikiri kutojua kufungua email utashindwa ku-copy server from Kebrum,VPNbook nk to my configs?
Kwa wengine book nane kubwa unafanya mchezo na vya bure au ulizia PM nilizopata ujue kwamba vya bure vinasound
Au angalia Views za thread in 4days ujioneee nauangalie views za thread za kulipia uone
 
njunwa wamavoko mbona hujanipm user na pass za kulia bata?
Nashauri uweke youtube tutorial jinsi ya kupata hizo free passport
 
Last edited by a moderator:
hzo username na password zinakata zenyewe tu..... ungesema ni za server ipi ingekuwa poa sana , ili tujitaftie wenyewe
 
Dear njunwa mavoko kitu kinapiga mzigo vibaya mnoooo ushaidi huooo ImageUploadedByJamiiForums1380322938.196891.jpg
 
kaka big up sana ila naona win 7 64 bit bado inanizingua though nlitumia NMD VPN...any assistance pliz
 
Dear njunwa mavoko kitu kinapiga mzigo vibaya mnoooo ushaidi huoooView attachment 114120

Lol na wewe umo kumbe duuuh nilikuwa siamini kama utaweza I see much respect maana nimeona FB comments za watu wanadai eti pocess ni nyingi sijui wameogopa Picha au wameogopa nn

Asnate sana kwa FEEDBACK you R the best of all naona kumbe na PD Proxy unatumia
 
Zoezi la kutoa USERNEM na Passwd litaendelea asubuhi ya leo
nikukupa usernem isiyofanya kazi una-haki kunikubusha PM wajibu wangu
ALL THE BEST
 
Yap yap kamanda sana tuuu

Nilikua najaribu kufuata tutorial for iOS tatizo ukitaka ku download openvpn connect config files inataka password, hiyo password sijajua unaweka ipi mkuu
 
nilipo click ile openvpn-gui ime niambia error probably openvpn was not installed..all kwenye zile 42 torrent etc.. inaniambia enter auth username
 
kila kitu kimekubali lakini mkuu njunwa wamavoko haujatutendea haki hapo katika kupata username na password za kwetu wenyewe ambazo zitatusaidia mbeleni,kikubwa tunaomba elimu ya kujitengenezea username na password sisi wenyewe kwa sababu kuna baadhi ya watu wanalalamika kwamba mwanzoni walikuwa wana surf vizuri lakini baadae ikaanza kuleta mushkeri/ikagoma...................tunaomba msaada wako mkuu

Hilo la kila m2 kupta usernam na passwrd yak ndo 2nalihtaji,,lkn nahc
jamaa hayuk tayr ku2saidia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom