Free Internet to all JF members with A MAGIC SIM CARD(No payment required)

Free Internet to all JF members with A MAGIC SIM CARD(No payment required)

mkuu me ni new member.....so siwez kuku pm....naomba ww ndo unipm username na password ...thanks in advance
 
kila kitu kimekubali lakini mkuu njunwa wamavoko haujatutendea haki hapo katika kupata username na password za kwetu wenyewe ambazo zitatusaidia mbeleni,kikubwa tunaomba elimu ya kujitengenezea username na password sisi wenyewe kwa sababu kuna baadhi ya watu wanalalamika kwamba mwanzoni walikuwa wana surf vizuri lakini baadae ikaanza kuleta mushkeri/ikagoma...................tunaomba msaada wako mkuu
 
wape hiyo site unayocreate wewe username kwa server config zako hapo juu.. bookvpn na binding port wapi na wapi Njunwa
MNAPOTEZA MDA WENU VIJANA
 
Last edited by a moderator:
Wale ambao nimewapa usernem na Password mbona sion fiedback mmekwama wapi?
Mtu ukikwama nipigie namba yangu ya simu hapa chini ntaweka na Tigo sio mda

Mkuu mimi nilikwama nika ku-pm ukaniambia kama sijui hii kitu bye bye, basi ikanibidi niendelee tu kutumia bundle za kawaida.
 
wape hiyo site unayocreate wewe username kwa server config zako hapo juu.. bookvpn na binding port wapi na wapi Njunwa
MNAPOTEZA MDA WENU VIJANA

Lol!sasa ntakupa je mm ninapo create usernem na passwd maana mm nimehack VPN provider fulani na naweza ku-create usernem ikawa recognized kwenye Database zao

VPNBook,Kebrum VPN na Peoples VPN ndo ninazo tumia sasa na ingia online soma kwenye Blog za wahindi utakuta wana-HACK AIRTEL India kwa kutumia Configs kutoka Kebrum VPN

Msomi handanganywi tumia Google acha kutamka maneno na kudiscourage wengine umeshindwa walipe wahindi wakutengenezee
 
Mkuu mimi nilikwama nika ku-pm ukaniambia kama sijui hii kitu bye bye, basi ikanibidi niendelee tu kutumia bundle za kawaida.

Nilikupa usernem na passwd ya sangoda na baada ya 0minute nikaona upo online nasioni response ikabidi niFLAG tu
Mkuu inamaana tunaponadi Free internet haujui tunatumia mtandao gani kweli
Thats your Homework
 
kila kitu kimekubali lakini mkuu njunwa wamavoko haujatutendea haki hapo katika kupata username na password za kwetu wenyewe ambazo zitatusaidia mbeleni,kikubwa tunaomba elimu ya kujitengenezea username na password sisi wenyewe kwa sababu kuna baadhi ya watu wanalalamika kwamba mwanzoni walikuwa wana surf vizuri lakini baadae ikaanza kuleta mushkeri/ikagoma...................tunaomba msaada wako mkuu

Utasema njunwa wamavoko muongo sijui nn kama huyu X.800 mbona wahindi wanakula BATA basi someni BLOG za wahindi au Tutorial yangu niliyotoa hapo juu.
Search na Google neno NMD VPN watakupeleka Blog za wahindi na wafuatalie hizo usernem na passwd wanazitoa wapi kama sio KEBRUM VPN nk

basi soma hapa mfanoo: http://trickmad.blogspot.com/2013/06/new-airtel-trick-for-unlimited-internet.html
 
speed yangu kwa sasa hii hapa
jd.JPG
 
Aisee we jombaa @njunwa wamavoko nimwendawasimu aisee yaani mzigo uko poa hadi naogopa mungu wangu, kikubwa nilichopenda ni speed yaani kuna speed ya laana jombaa.
 
Back
Top Bottom