Nxt Millionaire
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 406
- 89
Kutakuwa na semina maalumu kwa wajasiriamali siku ya Tarehe 28/08/2011, Jijini Dar kutakuwa na mada nyingi zitakazo tolewa zikiwamo:-
BOFYA, Kupata mada, muda, na ukumbi wa semina pamoja complementary tiketi yako.
- jinsi ya kuanziasha na kuendesha biashara endelevu
- Jinsi gani waweza kupata mtaji na kumiliki Biashara ya kimataifa.
- Ufanyaji biashara katika karne ya Ishirini na moja,
- Jinsi gani waweza kumiliki na kuendesha biashara kwenye mtandao,
- nk...
BOFYA, Kupata mada, muda, na ukumbi wa semina pamoja complementary tiketi yako.