sawa sawaSijawahi kusikiliza hiki kipindi mda mrefu sana nadhani toka enzi za kina babra! Nikawa mpenzi wa TV hasa kipindi cha 360! Nikaja kukitema rasmi alivyoingia yule mbeba mikoba wa Betina!!
Bora ya Sam na yule Dada lakini haka kajamaa kengine kakanifanya nianze kufaidi vizuri ka smart TV kangu kwa kuangalia mambo mengine!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo wanajua kujifanya wako advanced eti hawasikilizi redio wakati habari wanazo. Watanzania bwana nayeuliza hivyo kama kapata muda wa kucomment kwenye post yako anakosaje muda wa kusikiliza redio ambayo unaiwasha tu halafu unaendelea na mambo yako.ndio bado tupo
Hahaha ungekua wewe sired ingeisha fungwa nadhani hahahahaa.
ndo matatzo ya kuajiriwa hayo kila kitu ufanye kwa kupangiwaKwa mtu anaefanya kaz ya duka ya kukaa unafikir hasikiliz redio anasikiliza kuna baadhi ya kaz zinaruhusu kusikiliza redio
View attachment 1376753
Fred Fidelis aka Fredwaa
Kipindi cha Powe breakfast kimepwaya sana kama sio kupoa, kwa muda wa alfajiri kuanzia saa11 mpaka 12, amsha amsha za Fredwaa hazipo, Utabiri wa Hari ya hewa hamna, Paza Sauti pamoja na Ripoti ya Bonge ya alfajiri hakuna.
Pia zile reggae za alfajiri siku ya Ijumaa hakuna, sasa huyu jamaa ni likizo tu au kuna lingine nyuma ya pazia, imekuwa muda sana hayupo kwenye Kipindi, Inaleta shaka flani kama jamaa kapiga chini hivi, post yake kwenye akaunti ya Instagram siku mbili zilizopita inanipa mashaka, inasema: "FORGIVE, FORGET and move on, everyone got history in their life".
Pia kituo kiko kwenye kampeni ya siku ya mwanamke, na karibu asilimia 90 ya staff wameweka picha ambayo inatangaza kampeni hiyo ila yeye sijaona hiyo kitu.
PM Mr Shafii Dauda fanyeni mpango huyu jamaa arudi, tunajua kwenye riziki yoyote hapakosi husda kama ni hivyo basi weka sawa, kama ni likizo basi wasikilizaji wa kipindi wajuzwe, tumemiss sauti, jingle, drops za Mr Energy Man, hakuna kama yeye hapo.
hahahaha ulimbukeni, kusikiliza redio unaonekana wakijijini, yeye habari zote anazipata mtandaoni hana haja ya redioWabongo wanajua kujifanya wako advanced eti hawasikilizi redio wakati habari wanazo. Watanzania bwana nayeuliza hivyo kama kapata muda wa kucomment kwenye post yako anakosaje muda wa kusikiliza redio ambayo unaiwasha tu halafu unaendelea na mambo yako.
Yani ni rahisi kusikiliza redio kuliko kucomment JF
mwambie wewe, vijiwe vyote vya kahawa vina redio, kwa shoe shine, muuza matunda wanasikiliza redio hata walinzi wako lindo wanasukuma muda kwa kusikiliza redioKwa mtu anaefanya kaz ya duka ya kukaa unafikir hasikiliz redio anasikiliza kuna baadhi ya kaz zinaruhusu kusikiliza redio