Fredrick Mwakalebela aula, aitwa kuanza kazi shirika la makumbusho ya taifa

Kwani unafikiri kapewa hiyo kazi bila usaili, msimwtike kila zigo Mzee JK, hilo nadhani ni suala la kazi ilitangazwa, na akaomba aka sailiwa na kuonekana nibora miongoni mwa wasailiwa. Ingekuwa kateuliwa na rais, labda tungeweka shaka lakini kwa hili acha umbea!!!

Wewe upo nchi au ?Yaani kazi huwa zinatangazwa na watu wanasailiwa lakini atakayeajiriwa anajuliakana mapema na nyingi serikalini ni amri kutoka juu.

Umesahau ya MASAUNI wa UVCCMjinsi ambavyo JK alisema?
Na mnukuu' Kazi zipo nyingi kijana amekosea awapishe wengine" hapo Masauni mgombea wa Magamba Kas Unguja na yupo mjengoni.Je,kufoji vyeti si kosa la kuwa anatumikia kifungo muda huu?CHANGANYA ZA KWAKO NA ZA JK HALAFU AMUA!!!!!!!!!!!!!
 
Wewe upo nchi au ?Yaani kazi huwa zinatangazwa na watu wanasailiwa lakini atakayeajiriwa anajuliakana mapema na nyingi serikalini ni amri kutoka juu.

Umesahau ya MASAUNI wa UVCCMjinsi ambavyo JK alisema?
Na mnukuu' Kazi zipo nyingi kijana amekosea awapishe wengine" hapo Masauni mgombea wa Magamba Kas Unguja na yupo mjengoni.Je,kufoji vyeti si kosa la kuwa anatumikia kifungo muda huu?CHANGANYA ZA KWAKO NA ZA JK HALAFU AMUA!!!!!!!!!!!!!

haaah haaah haaah mkuu umenena, ndo mana vijana cku hizi wanakimbilia ualimu tu baada ya hapo wao ni shule tu,hamna usaili wala babu yake usaili, kupoteza muda tu wakati ajira wanapewa wanaojulikana!
 
Better remain silent and be regarded as a fool, than speak and remove all doubts! Hivi Wewe hujui kama kila taasisi inahitaji kuwa na Afisa Utumishi au Utawala? Sijui kama umeajiriwa au la!. Tusaidie hapo Makumbusho nani anahusika na mambo ya Payroll, welfare, compensation, recruitment, retention,promotion, healthy, Human resource planning, wage administration, terminal benefits, supervision, discipline n.k ya wafanyakazi? Au wataalamu wa Anthroplogy na Museum wamesomea hayo mambo pia? Au hakuna wafanykazi wengine wanaohitaji hayo mambo? Au wewe ndio huijui Administration?
Mkuu Gerard niko page moja na wewe,nilikuwa namjibu FJM aliyehoji kama Mwakalebela ana elimu ya mambo ya kale lakini nilikosea ku-quote post yake hivyo message yangu ikachanganyika na quote.Nilikuwa namjibu kwamba mambo ya utawala na utumishi hayahitaji mtu kuwa msomi wa mambo ya kale!
 
Kumbe wengi wakurupukaji. Hivi hujui kama Mwakalebela ni mtaalam wa Utumishi na Utawala mwenye shahada ya Uzamili? Amefanya kazi sehemu nyingi, mfano Botswana na kabla ya kuingia TFF alikuwa Afisa Utumishi Mkuu katika kampuni ya Sukari ya mtibwa. TFF amefanya kazi kama mwajiriwa akishinda usaili akimrithi Gasabile aliyeshindwa kazi akiwa kwenye muda wa probation. Aligombea Ubunge akiacha kazi kwa hiari TFF. Process yote ya ajira ya hapo Makumbusho nilifuatilia kwa ukaribu, Mwakalebela alishinda usaili uliohusisha watu watano sasa hapo unathibishaje kwamba alibebwa? Ni proffession ipi unayoitaka wewe kwa Afisa Tawala na Utumishi Mkuu ambayo Mwakalebelea hana?
Huyo bwana MAGAMBA tu, Mastaz yake haina tija na naimah haitumiki ipasavyo. Anyway hongera!
 
Acha kupotosha bana.........

Mwakalebela alishinda kesi ya TAKUKURU kihalali na si fasta kama unavyodai,kesi imechukua karibu miezi 8 wewe unasema kashinda fasta?,kesi yenyewe ya kudaiwa kutia rushwa ya Tshs.100,000/=!!!!!!!!!!...

Kuhus ajira,usiseme kwamba Mwakalebela amepewa,huu ni upotoshaji pia,Makumbusho walitangaza ajira kwenye magazeti na sehemu nyingine na watu wakaomba(akiwemo Mwakalebela),usaili ulifanyika na Mwakalebela akashinda.Kumbuka kwamba Mwakalebela ni msomi kwa kiwango cha shahada ya pili ya uzamili ya utawala wa biashara(MBA) na kabla hajawa Katibu mkuu wa TFF alikuwa ni Afisa utawala wa kiwanda cha mtibwa kule Manungu kwa kipindi kirefu tu so anazo sifa za kutosha kupewa nafasi hiyo na si kwamba kapewa kama unavyodai wewe.....

Bala.
mbona unaonekana kama mtetezi wa magamba weye? kwani huyo mwakalebela ndiye msomi na mwenye sifa za kiwango hicho pekee hapa nchini? acha kukurupuka bana, madudu ya nchi hii yanajulikana!
 
Back
Top Bottom