Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi ni mdau wa sekta ya utalii na tunaleta wageni wengi tu hapo Makumbusho ila kutokana na aibu na fedheha kutoka kwa wageni tunaowaleta imebidi niliseme hili.
Choo kinachoonekana pichani kinatumika na wageni pamoja na wafanyakazi wa shirika la Makumbusho na ni siku ya 4 sasa hali yake ni mbaya, uozo wa harufu mithili ya mzoga,Mh Kigwangallah hii ndio kaulimbiu ya TANZANIA UNFORGETABLE unayohamasisha? Basi kweli imekuwa aibu unforgettable kwani miongoni mwa wageni wetu wamegoma kuja kutembelea hapa baada ya wenzao kuwajuza fedheha hii inayotia aibu kama Wizara nzima sasa.
Katibu Mkuu Prof Mkenda, ofisi tajwa hapo lift mbovu mwa miaka dahali sasa, huduma hovyo ikiambatana na vitendea kazi kama vionyeshwa hafifu, kweli ofisi kama hii ambayo ipo puani mwa Ikulu na usoni mwa ofisi na makazi ya Mh Raisi mnaienzi kwa aibu hii?
Wahusika mnasubiri hadi Rais awatembelee?
Mnanajisi kauli mbiu ya #Tanzania Unforgettable, sasa nafikiri mnataka mnajisi na kauli mbiu ya Mh Rais isomeke kama awamu ya V-WONDERS!!
Mdau anayewakilisha fedheha za wageni kwa Taifa letu
Choo kinachoonekana pichani kinatumika na wageni pamoja na wafanyakazi wa shirika la Makumbusho na ni siku ya 4 sasa hali yake ni mbaya, uozo wa harufu mithili ya mzoga,Mh Kigwangallah hii ndio kaulimbiu ya TANZANIA UNFORGETABLE unayohamasisha? Basi kweli imekuwa aibu unforgettable kwani miongoni mwa wageni wetu wamegoma kuja kutembelea hapa baada ya wenzao kuwajuza fedheha hii inayotia aibu kama Wizara nzima sasa.
Katibu Mkuu Prof Mkenda, ofisi tajwa hapo lift mbovu mwa miaka dahali sasa, huduma hovyo ikiambatana na vitendea kazi kama vionyeshwa hafifu, kweli ofisi kama hii ambayo ipo puani mwa Ikulu na usoni mwa ofisi na makazi ya Mh Raisi mnaienzi kwa aibu hii?
Wahusika mnasubiri hadi Rais awatembelee?
Mnanajisi kauli mbiu ya #Tanzania Unforgettable, sasa nafikiri mnataka mnajisi na kauli mbiu ya Mh Rais isomeke kama awamu ya V-WONDERS!!
Mdau anayewakilisha fedheha za wageni kwa Taifa letu