Fred Lowassa: Tumerejea nyumbani CCM

Fred Lowassa: Tumerejea nyumbani CCM

Lowasa hakufaa kuwa rais,hongera watanzania kwa kumchagua Magufuli
 
Mwana mpotevu. Karibu nyumbani kwa baba huku watumwa wanakula vizuri hadi wanasaza, yann ushinde njaa ugenini na kula na nguruwe tena mabaki waliyosaza! Ni maneno ya hekima ya kibiblia.
 
Fred karibu sana na pole na maisha ya upotevu issue ni kujenga taifa. Nijambo gumu sana wewe kukaa ktk genge la wahuni usinge weza.



Sasa Genge la wahuni ni lipi?

Lile lilomkwaza / kumdhalilisha Mzee wake toka ajiuzuru?
au
Hili lililompokea na kumpa heshima 2015..?
Taifa lilimpa heshima ktk uchaguzi wa 2015.
 
Lowasa hakufaa kuwa rais,hongera watanzania kwa kumchagua Magufuli



Waulize wazee.
Utaelewa nn kilichotokea.
Mzee yule ameacha History ktk chaguzi, pande ya huku.
Tulizoea kuyaona yale upande ulee mwingine.
 
Fred ambaye ni mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema yeye pamoja na familia nzima ya Lowassa wamerejea nyumbani akimaanisha Chama cha Mapinduzi (CCM). Fred amezungumza maneno hayo leo jijini Arusha. Fred ambaye alijiunga na CHADEMA Julai 28, 2015 ameeleza kuwa anajisikia vizuri kurudi nyumbani kuendelea kushirikiana na marafiki zake aliowaacha CCM.

Baba yake aliondoka CCM kwasababu zake, yeye Fred alifuata mkumbo? Kama ndivyo hatakiwi kuaminika
 
Bora nchi tunaiendesha wasukuma kuliko angekabidhiwa Lowasa na genge lake la watu wenye uchu wa kunyonya mali za watanzania.
 
Fred ambaye ni mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema yeye pamoja na familia nzima ya Lowassa wamerejea nyumbani akimaanisha Chama cha Mapinduzi (CCM). Fred amezungumza maneno hayo leo jijini Arusha. Fred ambaye alijiunga na CHADEMA Julai 28, 2015 ameeleza kuwa anajisikia vizuri kurudi nyumbani kuendelea kushirikiana na marafiki zake aliowaacha CCM.
Kiswahili ni rahisi sana!
 
Back
Top Bottom