Fred Lowassa: Tumerejea nyumbani CCM

Fred Lowassa: Tumerejea nyumbani CCM

Fred ambaye ni mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema yeye pamoja na familia nzima ya Lowassa wamerejea nyumbani akimaanisha Chama cha Mapinduzi (CCM). Fred amezungumza maneno hayo leo jijini Arusha. Fred ambaye alijiunga na CHADEMA Julai 28, 2015 ameeleza kuwa anajisikia vizuri kurudi nyumbani kuendelea kushirikiana na marafiki zake aliowaacha CCM.
Karibuni sana na msirudie tena kuhama!
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Fred ambaye ni mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema yeye pamoja na familia nzima ya Lowassa wamerejea nyumbani akimaanisha Chama cha Mapinduzi (CCM). Fred amezungumza maneno hayo leo jijini Arusha. Fred ambaye alijiunga na CHADEMA Julai 28, 2015 ameeleza kuwa anajisikia vizuri kurudi nyumbani kuendelea kushirikiana na marafiki zake aliowaacha CCM.
Kwa matukio kama haya, ni dhambi kumuamini mwanasiasa kwa lolote hata kama ni mzazi wako. Wana ngozi mbilimbili hawa.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fred ambaye ni mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema yeye pamoja na familia nzima ya Lowassa wamerejea nyumbani akimaanisha Chama cha Mapinduzi (CCM). Fred amezungumza maneno hayo leo jijini Arusha. Fred ambaye alijiunga na CHADEMA Julai 28, 2015 ameeleza kuwa anajisikia vizuri kurudi nyumbani kuendelea kushirikiana na marafiki zake aliowaacha CCM.
Fred lowassa Mwogope Mungu wako , Watanzania sio Wajinga wanajua kila kitu mkuu kilichowapata poleni sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lubuvu ni kizazi Cha mwl,nyerere aliokoa sana sana taifa hili kutokumtangaza lowassa kuwa rais wa aridhi hii takatifu ya mungu,watu wote wa nyerere wasikubali taifa hili liiangukie Kwa lowassa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fred ambaye ni mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema yeye pamoja na familia nzima ya Lowassa wamerejea nyumbani akimaanisha Chama cha Mapinduzi (CCM). Fred amezungumza maneno hayo leo jijini Arusha. Fred ambaye alijiunga na CHADEMA Julai 28, 2015 ameeleza kuwa anajisikia vizuri kurudi nyumbani kuendelea kushirikiana na marafiki zake aliowaacha CCM.
Huyu Fred ana impact gani kwenye siasa za Tanzania?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Finiria watu wenye utapeli mkubwa Kama hawa wangekabidhiwa nchi kitokea Nini,wanajidanya wao na wake zao,au wanamdanganya Nani?
Jeji lubuvu aliona mbali sana

Mkuu kaza moyo, usikate tamaa.....
 
Fred karibu sana na pole na maisha ya upotevu issue ni kujenga taifa. Nijambo gumu sana wewe kukaa ktk genge la wahuni usinge weza.
Genge la wahuni ni sisiem ambao hawana dira wamebaki na polis.
 
If you cant fight them, you may easily end up joining them. Sasa ni muda wa akina Fred kujikita zaidi kwenye ujasiriamali wao kwa amani bila hofu wala bugudha
 
Fred ambaye ni mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema yeye pamoja na familia nzima ya Lowassa wamerejea nyumbani akimaanisha Chama cha Mapinduzi (CCM). Fred amezungumza maneno hayo leo jijini Arusha. Fred ambaye alijiunga na CHADEMA Julai 28, 2015 ameeleza kuwa anajisikia vizuri kurudi nyumbani kuendelea kushirikiana na marafiki zake aliowaacha CCM.
Huwa siamini kabisa maneno ya wanasiasa,ni wanafiki sana and can do anything for the sake of money and power.
 
Jamani Mwacheni huyu ndogo na Mzee wake watimize masharti waliyopewa na jiwe ili wawe salama wao na biashara zao .
 
Back
Top Bottom