Hivi hawa wanajifanya kama zile familia za Pakistan zakina Nawaz Sharif wanamiliki hisa za nchi. Hizi ni familia zinamwisho mbaya na kuwadharau sana watu wa Arusha wakiwatetemekea hawa watajishusha heshima. Hapa sisemi ni vibaya kuwa CCM hapana lakini watu lazima muwe na msimamo. Mnahama wote mnarudi wote huu mchezo kuwafanya wa Tz wajinga sana.Fred ambaye ni mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema yeye pamoja na familia nzima ya Lowassa wamerejea nyumbani akimaanisha Chama cha Mapinduzi (CCM). Fred amezungumza maneno hayo leo jijini Arusha. Fred ambaye alijiunga na CHADEMA Julai 28, 2015 ameeleza kuwa anajisikia vizuri kurudi nyumbani kuendelea kushirikiana na marafiki zake aliowaacha CCM.
Waende tu hao ndo wanafaidi matunda ya uhuruFred ambaye ni mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema yeye pamoja na familia nzima ya Lowassa wamerejea nyumbani akimaanisha Chama cha Mapinduzi (CCM). Fred amezungumza maneno hayo leo jijini Arusha. Fred ambaye alijiunga na CHADEMA Julai 28, 2015 ameeleza kuwa anajisikia vizuri kurudi nyumbani kuendelea kushirikiana na marafiki zake aliowaacha CCM.
Huyu nasikia ni kichwa. Elimu ilimpenda!
Plan B ni kuifumua kutoka Ndani...safari hiii amerudi na waChache yaani yeye Familia yake na Mpagazi wao Mgeja!!!
Wararudi kibao. Mama tayari alishatangaza, bado kupokelewa na mashangingi ya CCMSiasa anazofanya lowassa na watoto zake ni zile Zamani walikuwa wanapata kura vijijini Sasa hivi siasa hizi vijijini hazifanyi Tena kazi labda Kwa polis
Sent using Jamii Forums mobile app
Plan B ni kuifumua kutoka Ndani...safari hiii amerudi na waChache yaani yeye Familia yake na Mpagazi wao Mgeja!!!
Afadhali Ridhiwani atakupa break sasa Fred una immunity