ze farmer
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 922
- 1,821
- Thread starter
- #21
Thanks mkuu. Huenda kuna siku mtu mweusi ataamuka usingizini na kuujua ukweli. Acha huko Uarabuni wapo walioko hapahapa nchini walitukana watu weusi kuwa ni manyani na tunabaki kucheka. Ukitaka kuthibitisha hilo kafanye kazi kwa mhindi, mwarabu nk.Niongeze tu hapo tatizo letu ni umaskini uliosababishwa na hao hao tunaofuata dini zao. Wakati wanatuuza kama mali ghafi walikua hawachukui vimbaumbau walikua wanachukua watu ambao wangesaidia kuinua uchumi wa watu wao.
Haiji akilini watu weusi wanawezaje kutukanana ati dini zao ni bora zaidi ya nyingine bila kufuatilia historia nini hii mishetani ilifanya huko nyuma. Mpaka sasa wanatuita manyani si wazungu tu tena bora na hata wazungu wanatuita manyani lakini wanatuacha tufanye yetu huko Uarabuni usiseme. Angalia hii video halafu mijitu itawatetea hawa watu
Hapa chini wenzao Ulaya lakini mijinga bado inabishana humu kuhusu dini zao.
Wake up Africa.