TANZIA Frank Malecela, dereva wa RAS Dodoma afariki dunia

Nsoji go Nvaa

JF-Expert Member
Oct 15, 2019
760
1,444
Ni huzuni kubwa hapa dodoma mtu wa watu Mr Frank Malecela dreva wa RAS-Dom hatunae Tena amefariki taarifa zinasema Jana alikuwa ofsini baadae akawa anajisikia vibaya hv usiku hali ikawa mbaya akakimbizwa hospitali lkn ikawa bahati mbaya akaaga dunia.

Dereva.jpg
 
Back
Top Bottom