Peter Simba
Senior Member
- Nov 23, 2016
- 191
- 173
mpendwa wako wewe,,co kwa taifa
Kwahiyo nchemba hawezi?Sasa ni wazi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kaamua kupigana hivi vita kwa namna yoyote ile. Jana usiku Majizo ambaye ni mmiliki wa EFM radio na Tv alikamatwa na yuko cetral kwa sasa.
Hongera sana Makonda.... Mh. Rais tafadhali ikiwezekana mteuwe Makonda ubunge then umpe uwaziri wa mambo ya ndani. Anauthubutu, na anaweza..
DuhHabari zilizonifikia mida hii zinasema Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya EML Francis Anthony Ciza Majey (DJ Majizzo), na yeye yuko central. Katika yale majina 112 inasemakana jina la majizo liliongoza list, so wanaendelea kushuka chini tutegemee kuona wapendwa wetu wakiendelea kuchukuliwa mmojammoja.
View attachment 468430
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya EML na Radio E- FM Francis Anthony Ciza Majey (DJ Majizzo)
Kwani chidi benzi na babuuu wa kitaa siyo vigogo??Tunataka vigogo
wahyo na ww ushaprove kwamba majjizo anauza ngada?watanzania banaSasa ni wazi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kaamua kupigana hivi vita kwa namna yoyote ile. Jana usiku Majizo ambaye ni mmiliki wa EFM radio na Tv alikamatwa na yuko cetral kwa sasa.
Hongera sana Makonda.... Mh. Rais tafadhali ikiwezekana mteuwe Makonda ubunge then umpe uwaziri wa mambo ya ndani. Anauthubutu, na anaweza..
hata u PM...............Sasa ni wazi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kaamua kupigana hivi vita kwa namna yoyote ile. Jana usiku Majizo ambaye ni mmiliki wa EFM radio na Tv alikamatwa na yuko cetral kwa sasa.
Hongera sana Makonda.... Mh. Rais tafadhali ikiwezekana mteuwe Makonda ubunge then umpe uwaziri wa mambo ya ndani. Anauthubutu, na anaweza..
Tunataka vigogo