Jitu la-Mtumba
Senior Member
- Mar 20, 2025
- 151
- 349
Habarini za wakati huu ndugu,jamaa na marafiki[ japo sina rafiki humu ndani,kama upo Mbeya unaweza nicheki tuka bang].
Moja kwa moja kama maada inavyosoma hapo juu,kuna pacha yangu ambaye hayupo humu ameamua kuanzisha biashara ambayo anaona yeye itamfaa pande za kaskazini Arusha. Sisi nyumbani ni Arusha japo mambo ya majukumu yalitutenganisha mimi nikawa huku kusini kwa wadada wenye ma shape yao au sjui ndiyo maana kufanikiwa kunasua sua.
Location kapendelea Njiro,Town kati,Moshono,Mbauda,Sakina +Ngaramtoni road.
First priority Njiro,
Second Moshono,
Third Sakina road,nakadhalika,nakadhalika
Ganji lako la mwezi anatoa
Bei isiyozidi 400k.
Moja kwa moja kama maada inavyosoma hapo juu,kuna pacha yangu ambaye hayupo humu ameamua kuanzisha biashara ambayo anaona yeye itamfaa pande za kaskazini Arusha. Sisi nyumbani ni Arusha japo mambo ya majukumu yalitutenganisha mimi nikawa huku kusini kwa wadada wenye ma shape yao au sjui ndiyo maana kufanikiwa kunasua sua.
Location kapendelea Njiro,Town kati,Moshono,Mbauda,Sakina +Ngaramtoni road.
First priority Njiro,
Second Moshono,
Third Sakina road,nakadhalika,nakadhalika
Ganji lako la mwezi anatoa
Bei isiyozidi 400k.