fourth round application

fourth round application

Msifungue kwenye profile zenu nendeni pale chini kwenye view provisional results alafu unaweka index namba yako.
 
Ndugu zangu Mimi mwenyewe mpaka leo sijui kinachoendelea ila profile yangu ya TCU inaonesha nimechaguliwa udom but chuoni sioni kinachoendelea.
 
[QUOTE="Bacary Supulichopatat: 18429469, member: 233420"nacte pole fourth round washatoa majina na wanaanza kusoma[/QUOTE]
Chuo,program gani,na umechaguliwa na chuo au nacte??? round ip mdauuuu
 
Daah Jamaa yangu anasumbuka na hao TCU , aliomba fourth round lakini kimya hadi leo
 
Jaribuni kuingia TCU cas alaf mchek hapo chini walipoandika view provisional results majina yapo kwa wote walio apply chuo mwaka huu, kama kuna aliyepangiwa udom anichek
 
Back
Top Bottom