Four cylinder Vs six cylinder

Habari wakuu naomba kuweka kwenu huu mjadala mtu anayetumia cc 2000 lakini four cylinder na anayetumia cc 2000 lakini six cylinder.
Hapo tofauti ni nin

Nahisi unataka kuelewa jambo fulani muhimu sana ila ambalo ni pana na linachanganya kwa kiasi fulani kwa sababu ufafanuzi wake unahusisha vitu vingi vya mfumo wa injini. mbaya zaidi nahisi swali lako hujaliweka vizuri kutosha kueleweka unachotaka kutofautishiwa.

hata hivyo mm ntajifanya ulikuwa unaulizia hivyo vitu kwenye gari.
4 cylinder ni tofauti na 6 cylinder kwa upande wa nguvu ya gari pia matumizi ya mafuta.

kwanza fahamu kuwa cylinder ni mtungi unaopokea mafuta na kuyachoma ili yaweze kutengeneza nguvu ya kusukuma gari. mtungi huu una kitu kiitwacho pistoni kilichozama ndani yake na kina uwezo wa kuingia ndani na kutoka mithili ya pampu ya baiskeli unapojaza upepo tairi. pistoni hupanda na kushuka ndani ya cylinder, wakati pistoni inapanda huruhusu mafuta kuingia ndani ya cyinder na wakati inashuka hukandamiza na kuunguza mafuta yaliyoingia ambayo hutengeneza nguvu ya kusukuma gari. zoezi hili hurudia rudia kwa haraka sana na ndipo gari hutembea.

kujibu swaki lako
Ukisikia 4cylinder maana yake kuna mitungi minne ya kuchoma mafuta kwa wakati mmoja.. na 6 cylinder maana yake mitungi sita ya kuchoma kwa wakati mmoja...

1. ikiwa kila cylinder ina ujazo sawa wa lita 0.5 kwenye injini ya cylinder 4 basi kwa mpigo mmoja kila cyinder ya injini itachoma mafuta hivyo cylinder 4 zitachoma o.5 * 4= 2litre (2000cc)
japo kuna vitu vingine lkn kiwango cha mafuta yanayochomwa kwa mpigo mmoja huchangia kuamua nguvu ya gari.

ikiwa hiyo gari ya 6cylinder pia kila cylinder ina ujazo wa lita 0.5 inamaana kwa mpigo mmoja mafuta yanayochomwa ni 0.5*6= 3Litre (3000cc).

kwa hesabu hizo maana yake gar ya 4cylinder itakula mafuta kidogo kuliko ya ile ya 6cylinder, pia ya 4cylinder itakuwa na nguvu kidogo kuliko ya 6cylinder

2. sasa ili gari zenye idadi tofauti ya cylinder zile kiwango sawa cha mafuta itakuwa namna hii
Ikiwa injini ya 4cylinder inkula cc 2000 maana yake kila cylinder inabugia 500cc yaani cylinder moja ina ujazo wa 500cc tu, na kwa kadri vyilinder inavyoweza kuchoma mafuta mengi kwa pamoja ndivyo gari inavyokuwa sio na nguvu tu bali pia kasi japo kuna vigezo vingine vya kuamua.

ikiwa injini ya 6cyilinder inakula cc 2000 pia maana yake kila cylinder inabugia 333.3cc yaani cylinder moja ina ujazo wa 333.3cc tu. hivyo kwenye mpigo mmoja kila cylinder inachoma mafuta kidogo kuliko inavyofanyika kwenye injini ya cylinder 4. hivyo gari hii itakuwa na nguvu ndogo kuliko hiyo ya cylinder 4 japo itakuwa na uwezo wa kukimbia zaidi kuliko hiyo ya cylinder 4.

Kumbuka: nahisi ni nadra sana kukuta gari yenye cylinder nyingi kuwa na cc sawa na gari yenye cylinder chache. Mara nyingi kama sio zote gari ya cylinder nyingi huwa ina cc kubwa pia.
 
Nahisi unataka kuelewa jambo fulani muhimu sana ila ambalo ni pana na linachanganya kwa kiasi fulani kwa sababu ufafanuzi wake unahusisha vitu vingi vya mfumo wa injini. mbaya zaidi nahisi swali lako hujaliweka vizuri kutosha kueleweka unachotaka kutofautishiwa.

hata hivyo mm ntajifanya ulikuwa unaulizia hivyo vitu kwenye gari.
4 cylinder ni tofauti na 6 cylinder kwa upande wa nguvu ya gari pia matumizi ya mafuta.

kwanza fahamu kuwa cylinder ni mtungi unaopokea mafuta na kuyachoma ili yaweze kutengeneza nguvu ya kusukuma gari. mtungi huu una kitu kiitwacho pistoni kilichozama ndani yake na kina uwezo wa kuingia ndani na kutoka mithili ya pampu ya baiskeli unapojaza upepo tairi. pistoni hupanda na kushuka ndani ya cylinder, wakati pistoni inapanda huruhusu mafuta kuingia ndani ya cyinder na wakati inashuka hukandamiza na kuunguza mafuta yaliyoingia ambayo hutengeneza nguvu ya kusukuma gari. zoezi hili hurudia rudia kwa haraka sana na ndipo gari hutembea.

kujibu swaki lako
Ukisikia 4cylinder maana yake kuna mitungi minne ya kuchoma mafuta kwa wakati mmoja.. na 6 cylinder maana yake mitungi sita ya kuchoma kwa wakati mmoja...

1. ikiwa kila cylinder ina ujazo sawa wa lita 0.5 kwenye injini ya cylinder 4 basi kwa mpigo mmoja kila cyinder ya injini itachoma mafuta hivyo cylinder 4 zitachoma o.5 * 4= 2litre (2000cc)
japo kuna vitu vingine lkn kiwango cha mafuta yanayochomwa kwa mpigo mmoja huchangia kuamua nguvu ya gari.

ikiwa hiyo gari ya 6cylinder pia kila cylinder ina ujazo wa lita 0.5 inamaana kwa mpigo mmoja mafuta yanayochomwa ni 0.5*6= 3Litre (3000cc).

kwa hesabu hizo maana yake gar ya 4cylinder itakula mafuta kidogo kuliko ya ile ya 6cylinder, pia ya 4cylinder itakuwa na nguvu kidogo kuliko ya 6cylinder

2. sasa ili gari zenye idadi tofauti ya cylinder zile kiwango sawa cha mafuta itakuwa namna hii
Ikiwa injini ya 4cylinder inkula cc 2000 maana yake kila cylinder inabugia 500cc yaani cylinder moja ina ujazo wa 500cc tu, na kwa kadri vyilinder inavyoweza kuchoma mafuta mengi kwa pamoja ndivyo gari inavyokuwa sio na nguvu tu bali pia kasi japo kuna vigezo vingine vya kuamua.

ikiwa injini ya 6cyilinder inakula cc 2000 pia maana yake kila cylinder inabugia 333.3cc yaani cylinder moja ina ujazo wa 333.3cc tu. hivyo kwenye mpigo mmoja kila cylinder inachoma mafuta kidogo kuliko inavyofanyika kwenye injini ya cylinder 4. hivyo gari hii itakuwa na nguvu ndogo kuliko hiyo ya cylinder 4 japo itakuwa na uwezo wa kukimbia zaidi kuliko hiyo ya cylinder 4.

Kumbuka: nahisi ni nadra sana kukuta gari yenye cylinder nyingi kuwa na cc sawa na gari yenye cylinder chache. Mara nyingi kama sio zote gari ya cylinder nyingi huwa ina cc kubwa pia.
Umekaribia ukweli lakini kumbuka Toyota engine 1g ni cylinder 6 na cc 1980.
 
Umekaribia ukweli lakini kumbuka Toyota engine 1g ni cylinder 6 na cc 1980.

ni sawa, kumbuka namba nilizoziweka hapo juu sio halisia ila zimetumika kuelezea uhusiano wa cylinder na cc.

pia kuna upungufu wa maneno ya kiswahili ya kuelezea mambo haya tofauti na kingereza labda ni kwa sababu mm siyajui au hayapo kabisa. mfano power, energy, force, torque zote nazijua kama nguvu kwa kiswahili japo kwa kingeleza ni nguvu zenye ujumbe tofauti.

pia mm sio mtu mwenye taaluma ya magari na injini ila nina uelewa fulani fulani.. nimejitosa baada ya kuona uzi hajapata wa kuusemea vizuri.. hata hivyo ni mwanzo mzuri kwa wenye uelewa zaidi kuweka ufafanuzi mzuri zaidi
 
ni sawa, kumbuka namba nilizoziweka hapo juu sio halisia ila zimetumika kuelezea uhusiano wa cylinder na cc.

pia kuna upungufu wa maneno ya kiswahili ya kuelezea mambo haya tofauti na kingereza labda ni kwa sababu mm siyajui au hayapo kabisa. mfano power, energy, force, torque zote nazijua kama nguvu kwa kiswahili japo kwa kingeleza ni nguvu zenye ujumbe tofauti.

pia mm sio mtu mwenye taaluma ya magari na injini ila nina uelewa fulani fulani.. nimejitosa baada ya kuona uzi hajapata wa kuusemea vizuri.. hata hivyo ni mwanzo mzuri kwa wenye uelewa zaidi kuweka ufafanuzi mzuri zaidi
Logic ni kuwa kama gari ina cyljnder 4 na cc 2000 ni sawa na gari ya cylinder 6 ya cc 2000 ambapo ulaji wa mafuta ya 6 itakuwa na nafuu kidogo.
 
6 au 4 ni idadi ya piston zinazo compress mchanganyiko wa oxygen na mafuta kusababisha combustion inayotoa nishati ya kuzungusha shaft. 6 itahitaji milipuko 6 kukamilisha mzunguko mzima wa shaft wakati 4 itahitaji milipuko 4 tu. Hivyo kama zote zina cc zinazolingana basi ile ya 4 cylinder itakuwa na inachoma mafuta mengi kwa kila piston moja ukilinganisha na piston ya 6 cylinder.
good pia six mara zote huwa haitoi muungurumo mkubwa km four na hii inachangiwa na kuwa na cyrinder nyingi zaidi ya gari zenye four. chukulia mfano pikipiki yenye piston moja au mashine ya disel yenye piston zilivyo na kelele
 
good pia six mara zote huwa haitoi muungurumo mkubwa km four na hii inachangiwa na kuwa na cyrinder nyingi zaidi ya gari zenye four. chukulia mfano pikipiki yenye piston moja au mashine ya disel yenye piston zilivyo na kelele
V6 Haitoi mlio kivipi mkuu, wakati hizo engine ndio huwa zina mshindo mkali mno kuliko v4. Mfano mlio wa gx100/110 ukilinganisha na mlio wa corrolla limited?
 
6 au 4 ni idadi ya piston zinazo compress mchanganyiko wa oxygen na mafuta kusababisha combustion inayotoa nishati ya kuzungusha shaft. 6 itahitaji milipuko 6 kukamilisha mzunguko mzima wa shaft wakati 4 itahitaji milipuko 4 tu. Hivyo kama zote zina cc zinazolingana basi ile ya 4 cylinder itakuwa na inachoma mafuta mengi kwa kila piston moja ukilinganisha na piston ya 6 cylinder.
Lakini mkuu waezakuta piston 6 lakini ikawa na piston ndogo yaani cylinder ndogo sana na ile ya v4 ikawa na cylinder hole kubwa unaliongeleaje hili mkuu?
 
Hiyo ni kweli kabisa ndio maana injini ya 3s ya rav 4 au Noah sr40 ukiangalia ulaji wake wa mafuta hautofautiani sana na injini ya 1G ya GX 100 au GX 110 ya mark 2 lakini watu wengi hawalijui hilo ila wanachoangalia ni six tuu
Ahsante mkuu great point
 
Nahisi unataka kuelewa jambo fulani muhimu sana ila ambalo ni pana na linachanganya kwa kiasi fulani kwa sababu ufafanuzi wake unahusisha vitu vingi vya mfumo wa injini. mbaya zaidi nahisi swali lako hujaliweka vizuri kutosha kueleweka unachotaka kutofautishiwa.

hata hivyo mm ntajifanya ulikuwa unaulizia hivyo vitu kwenye gari.
4 cylinder ni tofauti na 6 cylinder kwa upande wa nguvu ya gari pia matumizi ya mafuta.

kwanza fahamu kuwa cylinder ni mtungi unaopokea mafuta na kuyachoma ili yaweze kutengeneza nguvu ya kusukuma gari. mtungi huu una kitu kiitwacho pistoni kilichozama ndani yake na kina uwezo wa kuingia ndani na kutoka mithili ya pampu ya baiskeli unapojaza upepo tairi. pistoni hupanda na kushuka ndani ya cylinder, wakati pistoni inapanda huruhusu mafuta kuingia ndani ya cyinder na wakati inashuka hukandamiza na kuunguza mafuta yaliyoingia ambayo hutengeneza nguvu ya kusukuma gari. zoezi hili hurudia rudia kwa haraka sana na ndipo gari hutembea.

kujibu swaki lako
Ukisikia 4cylinder maana yake kuna mitungi minne ya kuchoma mafuta kwa wakati mmoja.. na 6 cylinder maana yake mitungi sita ya kuchoma kwa wakati mmoja...

1. ikiwa kila cylinder ina ujazo sawa wa lita 0.5 kwenye injini ya cylinder 4 basi kwa mpigo mmoja kila cyinder ya injini itachoma mafuta hivyo cylinder 4 zitachoma o.5 * 4= 2litre (2000cc)
japo kuna vitu vingine lkn kiwango cha mafuta yanayochomwa kwa mpigo mmoja huchangia kuamua nguvu ya gari.

ikiwa hiyo gari ya 6cylinder pia kila cylinder ina ujazo wa lita 0.5 inamaana kwa mpigo mmoja mafuta yanayochomwa ni 0.5*6= 3Litre (3000cc).

kwa hesabu hizo maana yake gar ya 4cylinder itakula mafuta kidogo kuliko ya ile ya 6cylinder, pia ya 4cylinder itakuwa na nguvu kidogo kuliko ya 6cylinder

2. sasa ili gari zenye idadi tofauti ya cylinder zile kiwango sawa cha mafuta itakuwa namna hii
Ikiwa injini ya 4cylinder inkula cc 2000 maana yake kila cylinder inabugia 500cc yaani cylinder moja ina ujazo wa 500cc tu, na kwa kadri vyilinder inavyoweza kuchoma mafuta mengi kwa pamoja ndivyo gari inavyokuwa sio na nguvu tu bali pia kasi japo kuna vigezo vingine vya kuamua.

ikiwa injini ya 6cyilinder inakula cc 2000 pia maana yake kila cylinder inabugia 333.3cc yaani cylinder moja ina ujazo wa 333.3cc tu. hivyo kwenye mpigo mmoja kila cylinder inachoma mafuta kidogo kuliko inavyofanyika kwenye injini ya cylinder 4. hivyo gari hii itakuwa na nguvu ndogo kuliko hiyo ya cylinder 4 japo itakuwa na uwezo wa kukimbia zaidi kuliko hiyo ya cylinder 4.

Kumbuka: nahisi ni nadra sana kukuta gari yenye cylinder nyingi kuwa na cc sawa na gari yenye cylinder chache. Mara nyingi kama sio zote gari ya cylinder nyingi huwa ina cc kubwa pia.
Nashukuru sana mkuu umefafanua vyema sana na swali umelielewa vyema mkuu
 
Lakini mkuu waezakuta piston 6 lakini ikawa na piston ndogo yaani cylinder ndogo sana na ile ya v4 ikawa na cylinder hole kubwa unaliongeleaje hili mkuu?
c59407b7a14a42bfb2c284aa26d7d99d.jpg
b4f48b6a6acd85c9b326896ec08904f0.jpg
 
Lakini mkuu waezakuta piston 6 lakini ikawa na piston ndogo yaani cylinder ndogo sana na ile ya v4 ikawa na cylinder hole kubwa unaliongeleaje hili mkuu?
Na hapa ndipo penye hoja ya fuel consumption na sio idadi tu ya cylinders bali pamoja na ukubwa wa hizo cylinders na technology inayotumika katika generation ya nishati kuzungusha crank shaft.
 
Na hapa ndipo penye hoja ya fuel consumption na sio idadi tu ya cylinders bali pamoja na ukubwa wa hizo cylinders na technology inayotumika katika generation ya nishati kuzungusha crank shaft.
Maamuzi ya ulaji wa mafuta kwa magari ni maamuzi ya Mtengenezaji wa gari mwenyewe japo ratio ya kidunia ni 1 liter kwa km 100 lakini ukubwa wa cc au cylinders (Horsepower) kila kitu kinajitegemea ktk utendaji wake wakt Cylinders inasimama kweye nguvu au mapigo ya engine na cc inasimama kama cubic centimeters ni kipimo cha kupima ujazo au matumzi ya hewa au mafuta yanayotumika ndani ya engine lakini juu ya matumizi ya mafuta au ernegy ndani ya gari inategemea na maamuzi ya mtengenezaji kwa speed au umbali fulani kwa matumizi fulani ya mafuta si CC au Cylinders mfano magari ya Ulaya matumizi yake ya mafuta ni madogo japo yana CC kubwa sasa hv makampuni ya magari yanatengeneza matumizi makubwa ya umeme kuliko mafuta kwenye magari

jamal honest mng'ato
 
Sasa nikitaka kujua gari inakula Mafuta au Aili naangalia nini hasa nisaidieni maana Mimi nilijua unacheka cylinder
 
1G-FE


1G-FE
The DOHC 1G-FE uses a narrow valve angle and other fuel economy optimizations. It was introduced in 1988. Output was 135 hp (101 kW) at 5,600 rpm and 130 lb·ft (176 Nm) at 4,400 rpm. In 1998 VVT-i was added, which bumped output to 160 hp (119 kW) at 6,200 rpm and 148 lb·ft (200 Nm) at 4,400 rpm for the Altezza/IS 200. With the end of the first generation Lexus IS this engine ceased production in 2005

3S-FE
The Toyota 3S-FE is a 16-valve 2.0 L twin camshaft, single cam gear engine built by Toyota from 1986 to 2000. European version produces 128 PS (94 kW)(126 hp) at 5,600 rpm and 179 Nm (132 ft-lbs) at 4,400 rpm.[9] It is commonly used in the Camry 1987–1992 model, the Celica T160/T180/T200, Carina 1987–1992, Carina 1988–2001, Caldina 1992–2002, Carina ED 1990–1992 and E 1993–1998 models, Corona T170/T190 as well as Avensis 1997–2000 models and RAV4, 1994–2000 and Picnic/Ipsum 1996–2002. The 3S-FE was also used in some MR2 Mk2 cars due to its torque band being suitable for the automatic models. The 3S-FE is fitted with EFI. The 3S-FE engine is fitted with cast iron internals, whereas the 3S-GE/GELU engines have forged internals.[8]

3SFSE was a direct injection engine with Toyota D4 system. A cam driven high pressure fuel pump is at the #4 end of the head. This engine was only released in Japan (some imported to Russia etc.), and used in Camry (Windom).

Hapo juu nimeweka info za 6-cylinder 2000cc engine na 4-cylinder 2000cc engine.
Kwenye power 6-cylinder inatoa 160hp wakati 4-cylinder inatoa 126hp.

Kwa kifupi tu 6-cylinder huwa ina nguvu kuliko 4-cylinder ingawa zinaweza kuwa na cc sawa, vile vile 6-cylinder inakula mafuta zaidi na ndio maana ina power.

Huwezi kulinganisha nguvu au utumiaji mafuta wa rav4 yenye 3s na Cresta yenye 1g 6-cylinder engine.
 
Haya mambo ya CC na clyinders hua ni changamoto.Niliwahi kununua Mazda rx 8 ya 2005 ina cc 1300 na 4 clyinders ila ulaji wa mafuta ilikua 1litre inaenda km 6.5 highway ila inakimbia sana kuliko altezza na hizi gari nyingine sa saizi yake.Tatizo cc ndogo lkn mafuta inakula v8 vile
 
Back
Top Bottom