jamani wekeni hapa forums kama hii jamii forums,za kiinglish nikajoin...nataka niimprove english yangu iwe kama ya akina nyani ngabu na kiranga,nimegundua muda mwingi natumia lugha ya kiswahili,nyumbani na familia tunawasiliana kwa kiswahili na pia online nasikiliza bongo fleva na kuchat nachat na waswahili wenzangu.......nataka nibadilike matumizi yangu muda mwingi yawe enlish kwa sababu ndio lugha nitakayoitumia hapo baadae..
Unataka kutupasua kichwa???
Afu wewe?
Do you you?
Didn't it?
Unataka kutupasua kichwa???
Afu wewe?
Do you you?
Didn't it?
Unataka kutupasua kichwa???
Afu wewe?
Do you you?
Didn't it?
didn't the what...english good everyday....and together....children more.....
goodn't it?
Lol preta!!didn't the what...english good everyday....and together....children more.....
Lol preta!!
didn't the what...english good everyday....and together....children more.....
Unataka kutupasua kichwa???
Afu wewe?
Do you you?
Didn't it?
Sasa kwa nini usiamue tu kuchangia kwa kingereza mwanzo mwisho kama Fang?