Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
Wandugu wa JF, leo nilikuwa napita maeneo ilipokuwa shule maarufu ya sekondari Forodhani to my surprise nikakuta kuna ujenzi wa nguvu unaendelea lakini hakuna dalili ya kuwepo wanafunzi wa sekondari. Badala yake kulikuwa na watoto kama wa chekechea wengi tu na mabadiliko mengi. Sijui kwa kuwa sikuwepo humu jijini kwa muda mrefu au vipi...Hebu nihabarisheni wenzangua shule ya sekondari imerudishwa kwa utawala wa kanisa nini??