Nero multimedia suite itakufaa, inakuwa na encoders ambazo zinaweza kucheza video za aina mbalimbali. Trial version unaweza kudown load kutoka kwenye website yao ya nero.com. Lakini pia VLC media player inacheza video za youtube.hey mambo wadau, nimedownload tutorials kwa kutumia You tube downloader ila cjui kwanini hizi tutorials zimegoma kuplay, nimehisi llabda ni format, bt je ni player gani inaeza kuplay hizi tutorials naombeni msaada wadau,
tutorial ndo nini????
hey mambo wadau, nimedownload tutorials kwa kutumia You tube downloader ila cjui kwanini hizi tutorials zimegoma kuplay, nimehisi llabda ni format, bt je ni player gani inaeza kuplay hizi tutorials naombeni msaada wadau,
hey mambo wadau, nimedownload tutorials kwa kutumia You tube downloader ila cjui kwanini hizi tutorials zimegoma kuplay, nimehisi llabda ni format, bt je ni player gani inaeza kuplay hizi tutorials naombeni msaada wadau,
inategemea na hizo tutorials zina extension gani,most video files format zinaweza cheza kwa kutumia vlc. Ila kama ni extension ya .mov hii hutumika kwenye macintosh, player inayoplay huwa ni quick time player.
vlcWasikuhangaishe tumia VLC Player ndiyo mwisho wa matatizo hakuna kitu inaacha kuplay.
hey mambo wadau, nimedownload tutorials kwa kutumia You tube downloader ila cjui kwanini hizi tutorials zimegoma kuplay, nimehisi llabda ni format, bt je ni player gani inaeza kuplay hizi tutorials naombeni msaada wadau,
vlc
inaboa inapoigomea mini lyrics
unatumia VLC version gani?
mkuu hapo kwenye version umeniacha. Bt ni vlc 2 na nimejaribu kuiupdate then nikapata ujumbe kwamba natmia the latest update
nadhani hukunipata fresh mkuu. Kuna ki prog kinaitwa minilyrics. Ukiplay wimbo,chenyewe kinajifungua na kinasach lyrics kwa mtandao then kinazipitisha kwa screen. Sasa point yangu ni kwamba,hiko kiprog kinakubali kwenye windows media player na itunes bt kinagoma kwenye vlc. [xry nilikuwa off-topic kidogo]hilo file unalotaka kuplay liko ktk format gani?
nadhani hukunipata fresh mkuu. Kuna ki prog kinaitwa minilyrics. Ukiplay wimbo,chenyewe kinajifungua na kinasach lyrics kwa mtandao then kinazipitisha kwa screen. Sasa point yangu ni kwamba,hiko kiprog kinakubali kwenye windows media player na itunes bt kinagoma kwenye vlc. [xry nilikuwa off-topic kidogo]
sisi sio manabii kujua hizo aina.