FORM SIX 2019 TUANZIE WAPI

FORM SIX 2019 TUANZIE WAPI

shamp

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2017
Posts
225
Reaction score
215
Samahani wakuu najua wapo form six wengi wamemaliza na wanaendelea kumaliza elimu yao lakini hatujui tuanzie wapi mara kuomba mikopo,mara jeshi na zinginevyo. Tunaomba mwongozo kwa wakubwa zetu mliopita huku asanten
 
Samahani wakuu najua wapo form six wengi wamemaliza na wanaendelea kumaliza elimu yao lakini hatujui tuanzie wapi mara kuomba mikopo,mara jeshi na zinginevyo. Tunaomba mwongozo kwa wakubwa zetu mliopita huku asanten
Matokeo ya mitihani tayari?
 
Samahani wakuu najua wapo form six wengi wamemaliza na wanaendelea kumaliza elimu yao lakini hatujui tuanzie wapi mara kuomba mikopo,mara jeshi na zinginevyo. Tunaomba mwongozo kwa wakubwa zetu mliopita huku asanten
Kawasaidie wazazi kazi za shamba, nyumbani, wakutume hapa na pale, siyo kuwaza kuruka ruka kama panzi. Rudisha hata fadhila kidogo kwa kukaa na wazazi/walezi wakupe mawili matatu ya dunia. Usaidie kazi za hapo nyumbani, uwasaidie wazazi/walezi wako!
 
Hii system ni kwa mujibu wa sheria lakini bado hatuna kambi za kutosha kuwapa mafunzo vijana wote wanaomaliza kidato cha sita.

Na kwa sababu hakuna tafiti zilizofanyika kuonesha faida zinazopatikana kwa kuwapa mafunzo ya kijeshi,uzalishaji na uzalendo vijana wetu basi bora yapigwe chini hiyo pesa ielekezwe mahali pengine.

Kwanza miezi mitatu ni michache sana vijana hawaivi lakini pia wakija uraiani ndani ya muda mfupi wanarudia uraia wao ,wanajawa uvivu,kupenda utajiri wa harakaharaka na kupiga dili kama wanasiasa wao.

Wapige chini pesa hiyo ifanye mambo mengine.
 
Kitu cha kwanza na sensitivity n mkopo hvo inabidi undae vitu vyote muhimu ili kukuwezesha kufanya application kwa urahisi, kikubwa jiandae kifedha na kisaikoligia ila maadalizi ya mapema yatakufanya uone n kitu cha kawaida. Bottom line: "Learn the rules of the game to play better than anyone else"
 
Samahani wakuu najua wapo form six wengi wamemaliza na wanaendelea kumaliza elimu yao lakini hatujui tuanzie wapi mara kuomba mikopo,mara jeshi na zinginevyo. Tunaomba mwongozo kwa wakubwa zetu mliopita huku asanten
Ushamaliza mitihani?
 
Samahani wakuu najua wapo form six wengi wamemaliza na wanaendelea kumaliza elimu yao lakini hatujui tuanzie wapi mara kuomba mikopo,mara jeshi na zinginevyo. Tunaomba mwongozo kwa wakubwa zetu mliopita huku asanten

Hakuna jeshi mwaka huu
 
Back
Top Bottom