Jaman,wiki iliyopita necta wametoa ratiba mtihan mwez wa 5,lakn kuna m2 kasema tbc walitangaza kuwa kuna mabadiliko kuwa walimu wakuu wameishawishi wizara,wameamua mtihan ufanyike february.kuna ukwel wowote hapa?.naomba mxaada wa kujibiwa.
Ni kwel! MULUGO ambae ni wazir wa elmu alitangaza kua 4m6 na 4 wa mwaka uu haita wausu wao watafanya mtian wao kama kawa... Lakin nahis shule zina subir walaka rasm cos wanatumia waraka wa no5
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.