Mwanakulipata
JF-Expert Member
- Jul 17, 2018
- 713
- 1,181
Ndugu zangu mliohitimu kidato cha sita mnategemea kwenda kusoma elimu ya juu, kuweni makini na kile mnachotaka kwenda kusoma,
Maamuzi ya siku moja yanaweza yakagharimu maisha yako yote ya kila siku, utabaki ni mtu wa kuilaumu serikali, kujilaumu kwanini haukuchagua kozi ile ukachagua hii,
Obviously kuna zile kozi ambazo ni shavu na zinajulikana na kila mtu ukiona umezikosa hizo kozi, sio mbaya ukatumia cheti cha o level ukaenda kusoma Diploma kwa hicho hicho unachokitaka baadae utaendelea na degree kama kawaida na miaka itapungua yakusoma,
Kuna wale wanao ogopa familia zao, familia imeng'ang'ania aende akasome degree hatakama ni ya ualimu na wakati huku mtaani kuna walimu wa 2015 hawana ajira, kumbuka baadae ukishamaliza hiyo degree yako hapo nyumbani wazazi watakufukuza ukajitegemee hawatokuwepo nawewe kwenye msoto, maamuzi unayowewe kama wewe.
“Kuna kozi nyingine ukisoma chuo lazima ujue kuendesha Bodaboda kama Backup”
Kila la kheri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maamuzi ya siku moja yanaweza yakagharimu maisha yako yote ya kila siku, utabaki ni mtu wa kuilaumu serikali, kujilaumu kwanini haukuchagua kozi ile ukachagua hii,
Obviously kuna zile kozi ambazo ni shavu na zinajulikana na kila mtu ukiona umezikosa hizo kozi, sio mbaya ukatumia cheti cha o level ukaenda kusoma Diploma kwa hicho hicho unachokitaka baadae utaendelea na degree kama kawaida na miaka itapungua yakusoma,
Kuna wale wanao ogopa familia zao, familia imeng'ang'ania aende akasome degree hatakama ni ya ualimu na wakati huku mtaani kuna walimu wa 2015 hawana ajira, kumbuka baadae ukishamaliza hiyo degree yako hapo nyumbani wazazi watakufukuza ukajitegemee hawatokuwepo nawewe kwenye msoto, maamuzi unayowewe kama wewe.
“Kuna kozi nyingine ukisoma chuo lazima ujue kuendesha Bodaboda kama Backup”
Kila la kheri.
Sent using Jamii Forums mobile app