hatutaki kiingine ni 10% GDP growth. hili tungelipata kama machafuko ya 2007 hayakutokea leo tungekuwa 18% China ya afrika!!!10% growth rate now a reality sasa ni kupepea hadi kieleweke.
Ni hatua nzuri. Swali ni masuala ya msingi yametatuliwa? Itakuwa haina maana wala haipatani na akili kama KILA uchaguzi kunakuwa na machafuko hata mauaji, lkn baadaye viongozi wanakunywa chai na kushikana mikono halafu mambo yanaishia hapo.
Huenda juma punda maliHivi Jiwe nnani?
Yule jamaa..over my Dear Body..!!Jiwe sijui lini atatuomba radhi watanzania kwa kupora ushindi 2015!