Forex Tutorials for Beginners: Pitia hapa kujifunza

Forex Tutorials for Beginners: Pitia hapa kujifunza

Status
Not open for further replies.
renyo WENGI SANA MKUU, NENDA MTWARA HUKO UKAONE VIJANA WALIONUNUA MAGARI KWA FEDHA ZA KILIMO. KUANZIA MAGARI YA KUTEMBELEA, MATREKTA HADI MABASI
 
Hii kitu hii mie huwa naisikia sikia tu. Forex forex forex...
Hivi ina tija kweli? Mtaji wa kuanzia ni bei gani for a beginner? Is it possible kuifanya hata kwa mtu ambaye hana bank account?

Ngoja nami niipitie kupata ABCs. Isije kuwa napishana na gari la mshahara. Naweka nia ya kuwa beginner of Forex.

-Kaveli-
 
Mkuu ni jambo lipi linanitoa uungwana hapo? Nimeshindwa kutoa credits kwa mkuu Ontario ? Au kosa langu ni kushindwa kumerge threads ? Na kama ni hivyo basi naomba mods watusaidie. Kingine hiyo PDF hapo ni very recommended kwa watu wanaoanza kujifunza kama mimi nikaona si vibaya kushare na ndugu zangu ila kama nimekosa naomba nitangulize samahani mkuu
Mkuu hujakosea maana hata kabla ya Ontario
Bavaria alileta Uzi Wa forex hapa jf Na watu walichangia sana
Alipokuja Ontario alichofanya ni kumpa credits Bavaria ila hakuunga Uzi wake wala kuendeleza pale kwa Bavaria!
Jamaa kafanya vyema Ku share alichokipata wewe ukija mkuku kukosoa tunakushangaa kabisa maana yamkini wewe hujawahi kushare chochote!
Halikadharika Ontario hajasema kuwa ana hatimiliki za Uzi Wa forex jf!
Sisi sote ni binadamu ina maana kwa mfano Ontario akiondoka basi forex trade humu zinakoma!
Big up mleta uzi

DJ sepetu
 
Ungekua muungwana ungeandika haya yote kulekule kwa ONTARIO page mana hakuna jipya hata moja pia Pdf uliyoo attach ni sehemu ndogo sana ya forex bible, hakuna atayekuja kutoa info za forex TZ baada ya ONTARIO sababu yeye ndo aliyetuamsha usingizini mzito na kutuonyesha njia juu ya Forex, hata kama nitakosa training yake lakini amesha nionyesha njia, Lets join newbie
We ndo uende kule kwa Ontario, sisi acha tuanzie hapa hapa kwanza
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom