Dit000
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 656
- 856
mkuu hivi bank wanatumia sofware gani kutrade? na wanatumia broker kama sisi kudepost hela zao? na wakiwin postion nani anawalipa??iLotsize lazima watumie, laverege ndo inawezekana hawatumii au wanatumia ndogo Sana.
Mt4 ni kwaajili ya traders wadogo