KISHINDO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 2,202
- 1,957
Mi waliniita niatend interview, huwezi amini nilitoroka home bila kuaga, nilipofika nikakutana na uongo wa kufa mtu (mmoja akasema ni treasure wa wizara ya afya,mshahara ni kidogo but kwa muda aliojiunga GnLd anapata mara tatu zaidi ya mshahara wake:aunt yangu anafanya kazi wazara ya afya, nilipomwuliza akasema hilo jina halijawahi kufanya kazi wizara ya afya) niliondoka nimekasirika ile mbaya. Uongo wanaousema ndio unaofanya watu waseme ni walaghai na wezi wakubwa. Wapi Deci?? Nani aliambiwa deci na walaghai akakubali?
Mlioko huko subirini, a day is coming for you. HAKUNA KITU DUNIANI CHA MAFANIKIO MAKUBWA KWA MUDA MFUPI PASIPO USHETANI.
Mlioko huko subirini, a day is coming for you. HAKUNA KITU DUNIANI CHA MAFANIKIO MAKUBWA KWA MUDA MFUPI PASIPO USHETANI.