Forever Living na GNLD sio Vizuri...

Forever Living na GNLD sio Vizuri...

fiter

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
1,144
Reaction score
79
hawa jamaa wameona hawapati watu wao wa sales ,marketing sasa wameunda ngo/company mbalimbali mm be4 sijapata kazi nliwah ku aply ngo mbalimbali bila kujua ni gnld na for living waliniita kama mara 2 ngo's tofauti wanachoudhi wakikupigia simu wanakuambia unakuja kufanya recruitment/interview ukiuliza kampuni ina deal na bidhaa gani hawakuambii.....ukija sasa wanakuonyesha watu wao waliofanikiwa na kukuambia ujiunge nao kwa kianzio kama cha laki 7 au 6 na wengne hadi laki 3 then ufanye biashara ya marketing network....,..kama watu wenu waliofanikiwa mnatuambia waliacha kazi zao nzuri ndo wakawa wanafanya business yenu hvi kwa nini muite fresh graduate huku mkijua weng hawatakua na hyo hela za kuanzia pia kwa nini wanapowauliza mkiwapigia cm why msiwe wawazi kuwambia kua ni mambo za gnld na forever living bz kama mtu ana nia hata ukimwambia hvyo atakuja ila ulimficha na akaja hadi ofsini kwenu ndio akagundua hata umpe sound gani hatajiunga na nyie..,.jana ilimkuta mdogo wangu tena wale walioitwa UHURU HEIGHT wanajua
 
Juzi juzi tu hapa niliona katangazo ka mambo ya career nikahudhuria asa hizo mbwembwe mara tunaenda marekani mara nimenunua landrover na vituko kibao!! Ila hapo kwenye laki 7 mh!? Nikajisepea zangu mdogomdogo
 
Hii ni biashara kama zilivo biashara nyingine. Ina mbinu zake kama zilivyo kampuni zingine. Ni biashara ya mtandao kama zilivyo biashara nyingi za kisasa. Kikubwa ni kwamba si wote wanaofanya hii biashara wanafanikiwa maana inataka commitment na uchakalikaji katika kueneza hii biashara kwa watu wengi zaidi. Mtaji mkubwa ni uwezo wa kujielezea na kueneza kwa watu wengi zaidi.
Kwa maoni yangu si vema kuwahukumu kwa sababu tu hukuweza kumeet vigezo ikiwa ni pamoja na kuwa na mtaji wa kuanza hiyo biashara. Kuna watu nawafahamu in person wanapiga hela hapa mjini kutokana na hii biashara. Wamejenga na wanaendesha magari mazuri tu. Kwa uchunguzi wangu hii biashara inahitaji sana persistance and perseverance. (Japo mimi sijihusishi na hii biashara). Ni vema ukawa positive katika biashara za watu hata kama vigezo vimekuacha.

Hii ni biashara halali na serikali inaitambua. Wanalipa kodi kama kampuni zingine. Na watu wanapiga pesa kama kawa japo kuna wengine wanachemsha njiani kama zilivyo biashara zingine.

Lighondi.
 
Hivi kujenga nyumba na kuendesha gari zuri ndio mambo yote!
Kupata tripu kwenda south afrika na kulaa 5 stars hotel ndio habari ya mjini.
Una nyumba. gari umelala 5** hotels halafu ndugu zako wengine n mafukara na wanao hawapendi shule unaionaje hiyo.
 
aisee hawa jamaaa ni sina hata hamu nao na wala stakii hata kuwasikiaa....niliwai kuudhulia semina yaoo moja ubungo....plaza....ilikuwa ni ya kuvutia ila nilichokaaa palee nilipoambiwa nitoe laki tatu.....ya kujiunga wakati mfukoni nilikuwa nina jero tuu ya nauli......ya kwenda mpaka mbagala.....nilisepa fasta maana wasije wakalamba mpka nauli......
 
Mimi nina bahati nao, mara ya kwanza nilipewa namba na mshkaji wangu akaniambia kuna jamaa wanataka wafanyakazi bahati mbaya nilikua mkoa nikaja dar after 2 months na bado jamaa akaniambia kuna nafasi kwenda nikakuta ni GNLD nikakuta semina ya mikocheni ITV, nikajiandikisha sikurudi tena. Mwezi uliopita tena kuna mtu kaweka namba fb anataka managers wa 5 akaweka namba nikamcheki akanielekeza ofisi zao sinza mapambano kwenda nakutana na GNLD. Nilichokaje wakati me nimeenda na anuli tu wao wantaka mtaji wa laki 3.
 
Hao jamaa wapo sawa na biashara yao na wana references zakuvutia sana, tatizo lao wanakosea kutangaza wanataka watu wa namna gani kwenye matangazo yao. Inabidi waseme wanaitaji watu wenye mtaji kuanzia laki 3 na 70.
 
Mwaka 2010 walinipigia simu wewe ni flan unaitajika kwenye interview sinza mori, nakumbuka siku hiyo ilikuwa jumamosi nakumbuka nilikuwa natakiwa nifanye presentation chuo nikaona nimepata kazi loooh kufika sinza nakuta watu kibao badae tunaingia kwenye semina zao that day niliwachukia GNLD
 
Hao jamaa wapo sawa na biashara yao na wana references zakuvutia sana, tatizo lao wanakosea kutangaza wanataka watu wa namna gani kwenye matangazo yao. Inabidi waseme wanaitaji watu wenye mtaji kuanzia laki 3 na 70.

well said pia wasidanganye kua unaitwa interview kumbe ni mambo ya glnd....wawe wazi kama EROLINK wakikupigia cm, wewe ni,...kuna kazi hapa na mshahara ni......upo tayari uje ufanye interview?...nani angewalaumu kama wangevmia mfumo huu
 
Hii ni biashara kama zilivo biashara nyingine. Ina mbinu zake kama zilivyo kampuni zingine. Ni biashara ya mtandao kama zilivyo biashara nyingi za kisasa. Kikubwa ni kwamba si wote wanaofanya hii biashara wanafanikiwa maana inataka commitment na uchakalikaji katika kueneza hii biashara kwa watu wengi zaidi. Mtaji mkubwa ni uwezo wa kujielezea na kueneza kwa watu wengi zaidi.
Kwa maoni yangu si vema kuwahukumu kwa sababu tu hukuweza kumeet vigezo ikiwa ni pamoja na kuwa na mtaji wa kuanza hiyo biashara. Kuna watu nawafahamu in person wanapiga hela hapa mjini kutokana na hii biashara. Wamejenga na wanaendesha magari mazuri tu. Kwa uchunguzi wangu hii biashara inahitaji sana persistance and perseverance. (Japo mimi sijihusishi na hii biashara). Ni vema ukawa positive katika biashara za watu hata kama vigezo vimekuacha.

Hii ni biashara halali na serikali inaitambua. Wanalipa kodi kama kampuni zingine. Na watu wanapiga pesa kama kawa japo kuna wengine wanachemsha njiani kama zilivyo biashara zingine.

Lighondi.

Hii biashara inawafaa akina mama ambao akili yao na nguvu zimeshaanza kuchoka, kidume unasumbuka sana pasipo sababu za kueleweka na mwisho wa siku unaishia njiani ?
Ni kweli hawa jamaa wahuni tu hawana lolote, bado hawajajipanga!!
 
Hawana tofauti na wachezeshaji kamari tna sokoni wala sio cassino.
 
Watu kila kukicha wanatafuta mbinu za kucheza na akili za watu,wanajua tatizo kubwa la walio wengi ni ajira hasa vijana,ila ndo hawataki kuwa wawazi kwenye vigezo.
 
hawa jamaa wameona hawapati watu wao wa sales ,marketing sasa wameunda ngo/company mbalimbali mm be4 sijapata kazi nliwah ku aply ngo mbalimbali bila kujua ni gnld na for living waliniita kama mara 2 ngo's tofauti wanachoudhi wakikupigia simu wanakuambia unakuja kufanya recruitment/interview ukiuliza kampuni ina deal na bidhaa gani hawakuambii.....ukija sasa wanakuonyesha watu wao waliofanikiwa na kukuambia ujiunge nao kwa kianzio kama cha laki 7 au 6 na wengne hadi laki 3 then ufanye biashara ya marketing network....,..kama watu wenu waliofanikiwa mnatuambia waliacha kazi zao nzuri ndo wakawa wanafanya business yenu hvi kwa nini muite fresh graduate huku mkijua weng hawatakua na hyo hela za kuanzia pia kwa nini wanapowauliza mkiwapigia cm why msiwe wawazi kuwambia kua ni mambo za gnld na forever living bz kama mtu ana nia hata ukimwambia hvyo atakuja ila ulimficha na akaja hadi ofsini kwenu ndio akagundua hata umpe sound gani hatajiunga na nyie..,.jana ilimkuta mdogo wangu tena wale walioitwa UHURU HEIGHT wanajua

Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza ................................
 
hawa jamaa wameona hawapati watu wao wa sales ,marketing sasa wameunda ngo/company mbalimbali mm be4 sijapata kazi nliwah ku aply ngo mbalimbali bila kujua ni gnld na for living waliniita kama mara 2 ngo's tofauti wanachoudhi wakikupigia simu wanakuambia unakuja kufanya recruitment/interview ukiuliza kampuni ina deal na bidhaa gani hawakuambii.....ukija sasa wanakuonyesha watu wao waliofanikiwa na kukuambia ujiunge nao kwa kianzio kama cha laki 7 au 6 na wengne hadi laki 3 then ufanye biashara ya marketing network....,..kama watu wenu waliofanikiwa mnatuambia waliacha kazi zao nzuri ndo wakawa wanafanya business yenu hvi kwa nini muite fresh graduate huku mkijua weng hawatakua na hyo hela za kuanzia pia kwa nini wanapowauliza mkiwapigia cm why msiwe wawazi kuwambia kua ni mambo za gnld na forever living bz kama mtu ana nia hata ukimwambia hvyo atakuja ila ulimficha na akaja hadi ofsini kwenu ndio akagundua hata umpe sound gani hatajiunga na nyie..,.jana ilimkuta mdogo wangu tena wale walioitwa UHURU HEIGHT wanajua

Hats mimi Luna Dada kanupigia sim tuonane snipe deal kumbe in hayo ma gnld name forever living jamaa yangu anamfaham neo kanisimulia
 
Back
Top Bottom