MAPUMA MIYOGA
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 3,792
- 2,362
haya mambo ni kweli kabisa mdau,kweli kabisaaaa,pale migration kuna mtandao mpana sana wa pass,na pia makao makuu ya polisi,posta kuna wana-mtandao
mi niliambiwa nitoe laki 2, 50 ya passport na 150k nikaambiwa ya mtandao ili passport ipatikane. Tena usiwaambie unaihitaji mno na kwa haraka, dau linaongezeka.sasa fikiri kwa mtu anaye forge, uhitaji ukoje. Hapo ndio wataona bonge ya dili hata raia wa kilatini atasomeka kama mnyiramba wa kinampanda kwenye document zao.