babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,134
- 27,260
Hehehe hii sindano imekuingia hadi umekimbia kutafuta past news
Kama kuna magenge yana teka, kutesa na kuua watu pasipokujulikana wala kuchukuliwa hatua yeyote ile, utasemaje Tanzania ni nchi salama Mkuu?Tanzania sio failed state kuwa na adabu tafadhali
Kama kuna magenge yana teka, kutesa na kuua watu pasipokujulikana wala kuchukuliwa hatua yeyote ile, utasemaje Tanzania ni nchi salama Mkuu?
Hehehe hii sindano imekuingia hadi umekimbia kutafuta past news
Ng'ombe we! Hiyo ya magenge ya kihuni kufanya yatakavyo huku vyombo vya dola vikiwaachia watambe wawezavyo ndio usalama wa nchi?Hapa kazi tu ndugu Tanzania ni salama sana
Hamna cha past news, bado mnawatafuna ni ile tu siku hizi vyombo vya habari mumevikandamiza kabisa, ila tutaendelea kuwakumbusha nyie ni watu wa roho ngumu na nyeusi, mauaji ya albino na kutafuna nyama zao ndio sababu mpo maskini hadi leo.
Ng'ombe we! Hiyo ya magenge ya kihuni kufanya yatakavyo huku vyombo vya dola vikiwaachia watambe wawezavyo ndio usalama wa nchi?
Nchi ni salama kwenu madhalimu, pumbavu.Nchi ni salama, ila sio salama kwa wakumbafu kama wewe wasaliti na wachonganishi wakubwa kazi kuchonganiaha raia na serikali yao
Kazi kupinga pinga kila kitu,
Sitaki ubishi hapa fanya kutembelea hizo nchi zilizolistiwa alafu ulete mrejesho hapa.
Nchi ni salama kwenu madhalimu, pumbavu.
Badala ajibu hoja, analeta mambo mengine. Nchi yenu sio safe mzee wa data. Leta data kupinga hilo.
Yaani na sijasikia Wapinzani wakiripoti una matatizo sana unalazimisha kitu ambacho hakipo ili kiwepo,
Wakenya mna ufinyu wa akili asee,
Endelea kuokota okota tu
Umekaa kuskliza wapinzani ambao hamruhusu hata wakusanyike watano kabla hawajachezea kibano, naendelea kukuletea video za msosi wenu pendwa
Wakati ninyi mkishabikia matukio ya kihalifu ya kuua Albino yanayofanywa na vicha kama Alshabaab, sisi tunazingimzia unyama unaofanywa na vyombo vya dola chini ya maelekezo ya serikali kuwauwa raia, angalieni unyama wenu huu.Umekaa kuskliza wapinzani ambao hamruhusu hata wakusanyike watano kabla hawajachezea kibano, naendelea kukuletea video za msosi wenu pendwa
Yeah sio mbaya endelea kuokota okota maana itafanya kenya kuwa nchi nzuri kutembelea
Tanzania pia yanatokea ila si ya kiwango cha kiuhalifu kama Kenya na SA. Kule malengo ni kujipatia mali kutokana na hali ngumu kimaisha. Kwa bongo incidence chache zinazotokea kwa kiasi kikubwa zina mlengo kisiasa.Kama kuna magenge yana teka, kutesa na kuua watu pasipokujulikana wala kuchukuliwa hatua yeyote ile, utasemaje Tanzania ni nchi salama Mkuu?