Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,146
- 34,190
Hahahaha,,, basi me nakufuatia best maana utata wako sikufikii.
Hamna. Kuna vichwa vya KE vibovu humu ndani sijapata kuona.
Hahahaha,,, basi me nakufuatia best maana utata wako sikufikii.
unafikiri miss neddy mwanaume kama mimi kabanga naweza vutiwa na nini mrembo kama wewe....?mhhhhhhh kabanga umevutiwa na kipi
Na walizaa si unaona nilivyo cute frm the avatar mpk really look......
We jichananye uone unaijua ligi ya serial A ilivyo ngumu!!!!!!!
Kwahiyo una ka mpango ka kujilipua?
Nipo sana mkuu...! Nakubali nimekuwa mtoro sana huku, lakini sasa nimerudi Mkuu...!Mkuu ulipotelea wapi?
unafikiri miss neddy mwanaume kama mimi kabanga naweza vutiwa na nini mrembo kama wewe....?
haya karibu....Nipo sana mkuu...! Nakubali nimekuwa mtoro sana huku, lakini sasa nimerudi Mkuu...!
haya mkuu, tumekusikia. ila kuna kabinti humu nakapeeeeenda. siku hizi simuoni, nikionaga posts zake tu najisikia freshh. har har har har har,
Hahahahahaaa mkuu the greeen ulikuwa unakazimia kabinti nilikokuwa nakazimia mm pia bila shaka siku hizi sikaoni oni
unafikiri miss neddy mwanaume kama mimi kabanga naweza vutiwa na nini mrembo kama wewe....?
una hakika...?
Siku hizi nimeacha kula makongoro
Si uliniambia utanichukia nikiwa na kitambi?