Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,146
- 34,190
Ndio especially kwa Grand Vitara.Asante kwa maoni haya chanya.
Kama nimekuelewa vizuri,unamaanisha kwamba gari aina ya IST,Harrier na Xtrail ikibidi ni aina ya gari za kuepuka "otherwise buy at your own risk?"
Mjerumani hakika ni habari nyingine,hawa ni "bendera chuma,mlingoti chuma".
Suzuki nao wako poa?
Ila kumbuka Golden Rule. Gari ni matunzo. Hata upate gari bomba usipoipa matunzo inayostahili utafeli tu kukuridhisha.