Ha ha ha ha haYaani kutombwa tombwa hovyo na kudanga ndio unaita kupambana na chui na simba?![]()
Ha ha ha ha haYaani kutombwa tombwa hovyo na kudanga ndio unaita kupambana na chui na simba?![]()
Kumuelewa huyo jamaa unapaswa uwe mwanaume haswa, ukiwa legelege huwezi ukamuelewa jamaa.Target yako uwaunge mkono team kataa ndoa tu, ila unazunguuuka
Huyo nayeye si ana mme wake kutoka Bunda? Huyo muondowe kabisa kwenye orodha ya wanawake hayumo na huo msauti ndio kabisa.Nakupitia serikali hizi hizi za 50/50 dunia inaenda kuwa tambala bovu, tushangae wadada wadogo kisa wana hela wanakwambia Ndoa ya nini?.
Binti kama yule sauti ya zege na senti anazopata bungeni unadhani utamueleza jambo akakuelewa!. Dalili mbaya sana.
Huu uzi una hadhi ya platnum tano, haujatendewa haki yake ngoja tuubost kwanza urudi hewani.Kumbe kuna muda MMU inatema moto hivi, hongereni sana wadau.
Wewe huelewi kilichoandikwa hapo, ambao tuna familia mke na watoto tumemuelewa vizuri tu loud n clear.Target yako uwaunge mkono team kataa ndoa tu, ila unazunguuuka
Acha mkuu. Watu wanatema nondo za moto.Huu uzi una hadhi ya platnum tano, haujatendewa haki yake ngoja tuubost kwanza urudi hewani.
Kwa macho ya nje waweza sema hiyo ila ukweli yeye ndo anaujuaKumuelewa huyo jamaa unapaswa uwe mwanaume haswa, ukiwa legelege huwezi ukamuelewa jamaa.
Una hoja. Usikilizwe vizurisasa kama watoto ni wa baba mbona watoto hao huimba nani kama mamaa aah! Kwangu Mimi naonaga ni kihelehele chetu men tuu!
Sure!.Maneno mazito sana haya mkuu.