nmeamini kuna watu vilaza kila kitu kipo ila bado wanakosea
(colour: blue) n
wadau kwa yeyotu anaefahamu app nzur ya kuscan na kuondoa virus kwenye Sim za android atoe msaada wa kututajia.. benefitio to all android users
Msaada kwenye tuta: Cm yangu Huawei 530 nimefuta kila kitu zimebaki contact tu na nimebaki na app za kudowload NNE tu Niki download app nyingine naambiwa internal memory full
mi navojua watu, wakiweza kuweka rangi wataanza kuzania wako sawa ni sie web programmers, kisa wanajua hako ka-html code
kuzania au kudhania?