Hata mimi nilikuwa sijui ila leo ndio nimejua, kwa hiyo jaribu tu utaweza.
hahahahaa.....
CLOUR=#FF0000
Hata mimi nilikuwa sijui ila leo ndio nimejua, kwa hiyo jaribu tu utaweza.
Hata mimi nilikuwa sijui ila leo ndio nimejua, kwa hiyo jaribu tu utaweza.
Kumbe nilivyoshindwa mwanzo ilikuwa ni ukilaza tu
Andika hivi Mwanzoni siyo COLOUR halafu Malizia na [/COLOR]
Anza kwa kuweka
mi navojua watu, wakiweza kuweka rangi wataanza kuzania wako sawa ni sie web programmers, kisa wanajua hako ka-html code
Thanks Jembe kwa html code hizo
usihofu bajabiri utajua tu taratibu we relax tu!
Jamani me sijui,,,,,
[COLOUR=#FF0000][/COLOUR]ngoja nijaribu tena
Shida yote ya nn,kwan nisipoweka rangi maandishi hayasomeki.
Mbona ushaweza bajabiri?? Usiandike COLOUR weka COLOR halafu hilo neno "Ngoja nijaribu tena" liwe. Katikati ya brackets yani ]liwe hapa[
Nikuambie kitu Mkuu. Usiweke neno COLOUR weka neno COLOR. Halafu neno la mwisho yaani [/COLOR] weka mwisho wa sentensi
Mbona ushaweza bajabiri?? Usiandike COLOUR weka COLOR halafu hilo neno "Ngoja nijaribu tena" liwe. Katikati ya brackets yani ]liwe hapa[
[COLOUR=#FF0000] duh hii ngumu.