Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,197
- 25,517
Leo Bungeni Dodoma,Spika wa Bunge Ndugu Job Ndugai alisimama na kuzungumzia mambo mbalimbali kuwahusu Wabunge Zitto Kabwe na Tundu Lissu.
Kuhusu Zitto,Spika Ndugai alikemea vikali tabia ya Zitto kutoa taarifa za uongo na kuupotosha umma kupitia mitandao ya kijamii hasa twitter. Alitolea mfano wa twit ya Zitto iliyoshutumu Ofisi ya Spika kukalia Ripoti ya CAG.
Spika Ndugai alionyesha kushangazwa na namna Zitto anavyopata taarifa za siri na nyeti na kuwaasa Wabunge kutomchora vibaya Spika kwenye jamii. Pia,aliwaasa Wabunge kuacha kusambaza taarifa za uongo na upotoshaji.
Katika hali isiyo ya kawaida,Spika Ndugai alisikika akisema kuwa yawezekana tabia ya Zitto kusema uongo ni katika 'kuretire' imprest bila kutaja ni wapi na kupambanua kwa kina.
For you JF great thinkers, dongo la Spika kwa Zitto lilimaanisha nini? Zitto huchukua wapi imprest anazolazimika kuziretire kwa namna yoyote iwayo?
Kuhusu Zitto,Spika Ndugai alikemea vikali tabia ya Zitto kutoa taarifa za uongo na kuupotosha umma kupitia mitandao ya kijamii hasa twitter. Alitolea mfano wa twit ya Zitto iliyoshutumu Ofisi ya Spika kukalia Ripoti ya CAG.
Spika Ndugai alionyesha kushangazwa na namna Zitto anavyopata taarifa za siri na nyeti na kuwaasa Wabunge kutomchora vibaya Spika kwenye jamii. Pia,aliwaasa Wabunge kuacha kusambaza taarifa za uongo na upotoshaji.
Katika hali isiyo ya kawaida,Spika Ndugai alisikika akisema kuwa yawezekana tabia ya Zitto kusema uongo ni katika 'kuretire' imprest bila kutaja ni wapi na kupambanua kwa kina.
For you JF great thinkers, dongo la Spika kwa Zitto lilimaanisha nini? Zitto huchukua wapi imprest anazolazimika kuziretire kwa namna yoyote iwayo?