Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
asante sana ripota,ila umekosea njia habari hii itamfaa shigongo
Kweli kabisa... Chaaa!!!
asante sana ripota,ila umekosea njia habari hii itamfaa shigongo
Mimi ndio maana nimejiunga na JF,
Habari kama hizi (umbea au si umbeya) huwa nazipenda sana.
Ndugu Fareed shukran kwa kutuhabarisha, maana ulimwengu wa leo
one needs to stay connected all the time! he he he he
jd kwa majani ameshindikana mbona inajulikanaaa!!!!!ila ggh amemsaidia sana kufika hapo alipo maana kwa jinsi alivyo angekuwa anahonga sana ili awe naoo wasikimbie
Jide anakula jani? i am so disappointed!nilikuwa namuona kama ni staa mmoja composed mambo yake hayapo mitaani!
Teh! Teh! Pacha alimwagiza redbull gadner..kwani gadner ni bar maid hapo!
Oyaa kula nyasi mbona kitu cha kawaida sana, ukijua listi kamili mbona ndio utapagawa kabisa.