Fomu za urais wa shithole

Fomu za urais wa shithole

Hapo ndipo amejithihilisha kuwa yeye ni mwendawazimu.yaani unachukua fomu ambayo unaweza kuibeba kwenye baiskeli lakini yeye kaenda na v8 zaidi ya 20 na mabasi zaidi ya 20.Haumii kabisa kuwa anachezea Kodi za watanganyika
 
Uumbaji wa Mungu baana! Kuna ile hali mtu unaamka na kujikuta unamchukia tu mtu bila kuwa na sababu ya maana saaana, sijui kwanini huwa inatokea
 
Ukitaka kujua akili zetu tazama msafara wa kuchukua hizo karatasi wakati hamna uchaguzi wamejipa tu utawala!

Tuna akili sawasawa sisi kweli? Hata Gorilla na manyani huko porini yanajua economy kuliko hawa wasomi wetu aisee!
Hapo yamepewa 20tsh ili yatumike kubariki wizi wa hazina ya taifa dah inauma sana Jwtz wapo tiss wapo ila haya yanaruhusiwa yatokee. IPO siku vyombo vyetu vya Dola Kwa kutowajibika kwao watasababisha wananchi waitetee nchi yao kimababvu Sasa.
 
Ile ni drama wanafanyiwa watumwa wasiojielewa maana, mtu kwenda kuchukua fomu ikawa LIVE kwenye media ni kichekesho kwakweli....
Mtendakazi hana haja ya kulazimisha image yake kwa wananchi maana wapiga kura wenyewe tayari unaishi kwenye mioyo yao...
 
Mh! protocol za kazi zao unazijua au unafikiri taasisi ya urais inaendeshwa kama genge la mabodaboda!..😅
Ni huku nchi za kijima tu utaona haya mambo ya kijinga kama hayo.
Nchi zenye watu wanaojitambua hutona huu upuuzi.

Na baya zaidi uelewa wa watu wetu kuhusu matumizi sahihi ya kodi zao ni mdogo sana ndio maana wanasiasa wapuuzi wanafuja pesa hizo bila hofu huku wakishangiliwa na wenye uelewa mdogo kama wewe.
 
Ni huku nchi za kijima tu utaona haya mambo ya kijinga kama hayo.
Nchi zenye watu wanaojitambua hutona huu upuuzi.

Na baya zaidi uelewa wa watu wetu kuhusu matumizi sahihi ya kodi zao ni mdogo sana ndio maana wanasiasa wapuuzi wanafuja pesa hizo bila hofu huku wakishangiliwa na wenye uelewa mdogo kama wewe.
Sawasawa ila vichwa mundu mpo wengi hata kuelewa komenti yangu imegusia nini hamuelewi..
 
Hivi wangeenda kuzibeba hizo karatasi kwa Land cruiser 2 au 5 na walinzi wao, kenge wasingetiki oktoberi?

Just curious tu wandugu, povu ruksa
Wewe acha tu sindano ikuingie sawa sawa upone maradhi ya chuki
 
Akili za namna hii ni takataka kwa Taifa
Unajiona uko sawa kupinga kila kitu
Nyie ndio takataka ambao hamtaki amani na chuki zenu za kipuuzi
 
Professor alikua anatoa point na ushahid lakin kina pole pole walimuona msaliti.
Leo hii huyu mpuuzi ety tunamskiza kweli sie ni wajinga
Professor Assad alisema tuna ujinga wa kihalaiki.
Ss
 
Yani namchukia mama samia? Mbona itakua matumizi mabaya sana ya chuki sasa! Uzuri ana maisha yake na mie nina yangu hatuna mahusiano, why nichukie mjasiriasiasa na mie mjasiriamali, mbalimbali!
Mbona itakua matumizi mabaya sana ya chuki...😂😂😂
 
Hivi wangeenda kuzibeba hizo karatasi kwa Land cruiser 2 au 5 na walinzi wao, kenge wasingetiki oktoberi?

Just curious tu wandugu, povu ruksa
Ukizidisha kuchamba,unaondoka na mavi!
Thts wat happened!
 
Back
Top Bottom