Ngwathra
Platinum Member
- Jul 11, 2007
- 5,997
- 11,340
- Thread starter
- #21
Tunapambana kulazimisha tuonekane tunapendwa na tunaungwa mkono.
We ulisikia wapi watu wanahamasishwa kushangilia rais akiwa anaingia? Kama mtu anapendwa si atashangiliwa kwa hiari?
Maskini nchi yangu dah, yani imerudi chini kabisa kuliko ilivyokuwa enzi za ujima!