mwaitakotako mwaipumbuje
Member
- Mar 10, 2020
- 24
- 151
Wana jamvi,
Kwa kweli katika jambo ambalo linashangaza ni namna ambavyo kuanzia mida ya saa kumi na moja jioni kutoka maeneo ya posta kuelekea airport foleni ilivyo kubwa.
Yani kwa mgeni/mtalii au mtanzania anaesafiri kwa usafiri wa anga alafu ndege yake iwe inaondoka saa tatu usiku ni lazima aondoke posta saa nane mchana au saa tisa mchana.akijichanganya akiondoka hotelini posta saa 10 jioni imekula kwake labda apande boda boda.
kuna foleni ya aibu mpaka juu ya flyover unakuta magari yamepangana mwanzo mpaka mwisho.
Kipande cha kilomita 10 unaendesha masaa mawili.Hii ni aibu kwa taifa kwa njia muhimu na ya kimkakati kama ya kwenda kiwanja kikubwa cha ndege kama JKNIA.
Serekali imejitahidi kujenga flyover tazara lakini ni wazi kua imezidiwa mno.
Nashauri yafuatayo ili kuondokana na aibu hii kwa taifa
1.Ile barabara inayotumika na wajenzi wa reli ya standard gauge....isiwe tena temporary road kwa wajenzi....iwekwe lami na iwe barabara rasmi ambapo watu wanaotoka posta na ubungo wanoelekea ukonga na gongo la mboto watapita njia hiyo na hawatalizimika kupita nyerere road.
Kwa kweli katika jambo ambalo linashangaza ni namna ambavyo kuanzia mida ya saa kumi na moja jioni kutoka maeneo ya posta kuelekea airport foleni ilivyo kubwa.
Yani kwa mgeni/mtalii au mtanzania anaesafiri kwa usafiri wa anga alafu ndege yake iwe inaondoka saa tatu usiku ni lazima aondoke posta saa nane mchana au saa tisa mchana.akijichanganya akiondoka hotelini posta saa 10 jioni imekula kwake labda apande boda boda.
kuna foleni ya aibu mpaka juu ya flyover unakuta magari yamepangana mwanzo mpaka mwisho.
Kipande cha kilomita 10 unaendesha masaa mawili.Hii ni aibu kwa taifa kwa njia muhimu na ya kimkakati kama ya kwenda kiwanja kikubwa cha ndege kama JKNIA.
Serekali imejitahidi kujenga flyover tazara lakini ni wazi kua imezidiwa mno.
Nashauri yafuatayo ili kuondokana na aibu hii kwa taifa
1.Ile barabara inayotumika na wajenzi wa reli ya standard gauge....isiwe tena temporary road kwa wajenzi....iwekwe lami na iwe barabara rasmi ambapo watu wanaotoka posta na ubungo wanoelekea ukonga na gongo la mboto watapita njia hiyo na hawatalizimika kupita nyerere road.