emmanuel1976
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 301
- 79
Foleni za magari Dar miezi minane iliyopita linazidi kukua siku hadi siku hadi katika barabara za vunji na hata usiku. Je tutarajie ufumbuzi wa tatizo katika bajeti hii?
Valuation Calculator for Used Motor vehicles and CRSP List ( |
Turudishe UDA pekee kuwa na hati miliki ya kusafirisha abiria dar, hakuna mtu binafsi, pia tujenge reli za chini ya ardhi kwa ajili ya kusafirisha abiria dar, tujenge barabara za juu na tuhimize watu kuutumia zaidi usafiri wa umma badala ya binafsi kwenda kazini.
Si ungeandika kiingereza wakati bado unajifundisha kiswahili.Urai wangu unahusiana nini na hoja hii?Kwani watanzania wote wanafahamu kiswahili vizuri?