Foleni ya magari Dar tutarajie ufumbuzi katika bajeti ijayo?

Wakati mwingine ni undeshaji wa watu binafsi. Inaeleweka kwamba lane ya kulia ni ya kuovertake na kwenda speed kuliko ya kushoto. Lakini hata kama hakuna foleni unakuta mbele kuna wapuuzi wawili wamekuziba na wanaenda kwa speed kama vile wanafanya mazungumzo.

Ukiwapigia honi tena mara kadha ndipo wote wanagutuka na kuanza kuongeza ili uwapite. Na wakati unawapita ukijiuliza kwa nini wanaendesha speed ya kinyonga unakuta mmoja ama alikuwa anongea na simu au ameishikilia huenda anatuma au kusoma meseji.

Hali hii ni mbaya hasa kwa vile vigari vidogo ambavyo tunanunulia wapendwa wetu!
 
Kujenga kilomita 1 ya barabara kwa kiwango cha lami inagharimu Shilingi Bilioni 1, hivyo Bilioni 987 zilizotengwa kwa ajili ya watumishi wa serikali wa kada ya juu kulipana posho zingetosha kujenga kilomit 987 sawa na kutoka Dar hadi Mwanza. Laiti kama 25% ya fedha hzio inetumika kujenga barabara za mazunguko (ring roads) kuzunguka Dar na barabara ndogo ndogo zinzzounganisha barabara kuu mbali mbali, hizi foleni zisingekuwepo
 
Back
Top Bottom