johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Kiukweli Wanasiasa wa Tanzania bado wana mapungufu ya kimtazamo kwenye maeneo mengi.
Leo nimeona foleni pale Mbezi Mwisho nikashangaa hawa maelfu ya watu Kwenye foleni wanasubiri nini? Mwanafunzi mmoja akanijubu hao wanasubiri basi la Mwendokasi.
Wanasubiri basi ambalo hawajui kama litakuja au litakuja saa ngapi.
Labda ni kwa sababu ya Vita ya Gaza!
Jumaa Mubarak 😀
Leo nimeona foleni pale Mbezi Mwisho nikashangaa hawa maelfu ya watu Kwenye foleni wanasubiri nini? Mwanafunzi mmoja akanijubu hao wanasubiri basi la Mwendokasi.
Wanasubiri basi ambalo hawajui kama litakuja au litakuja saa ngapi.
Labda ni kwa sababu ya Vita ya Gaza!
Jumaa Mubarak 😀