Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
- Thread starter
- #41
Mkuu hapo kwenye Rangi unamaana gani? Miaka 50 ndio wanayakumbuka hayo?
Mkuu wangu, serikali inatekeleza mambo mbali mbali kulingana na mahitaji. kwa sasa jambo hili ni muhimu sana, ili kusiwe na visingizio vya kutoka kazini mapema kusingiia foleni.