Tembomtata
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 266
- 426
Ongezeko la vijana wanaojulikana kama flycatchers hapa Arusha linaonekana ni tishio kwa utalii wa mji wetu na kwa nchi yetu kwa ujumla.Mwanzo walianza kama njia yakusaidia watalii kuwafahamisha sehemu za mji huu lakin kujipatia riziki, lakin sasa wamezidi mipaka.Vijana hawa wengi wao wanapendelea kuweka style ya rasta kuwa vutia wanawake wakizungu wamekuwa wakisimama nje ya ofisi za Tanzania Tourist Board wakisubiri watalii wanaoenda kuulizia habari za utalii katika ofisi hizo,wakiamini kwamba watalii hawa hawana ufahamu wowote kuhusu mji huu.
Wamekuwa wakiwang'ang'a nia watalii pindi watokapo tu kwenye ofisi hizo,nakuwafuata kokote watalii hawa waendapo hata kama mtalii hataki.Mimi kama mdau wautalii nimekuwa nikipokea malalamiko mengi kutoka kwa watalii pindi wanapoamua kuzunguka mji wenyew.Naomba TTB washughulikie swala hili kwan litaadhiri utalii wetu siku zijazo,kwani watalii hujiona kuwa hawako safe.Ikibidi Tanapa,Ngorongoro Conservation Area waingilie kati.
Wamekuwa wakiwang'ang'a nia watalii pindi watokapo tu kwenye ofisi hizo,nakuwafuata kokote watalii hawa waendapo hata kama mtalii hataki.Mimi kama mdau wautalii nimekuwa nikipokea malalamiko mengi kutoka kwa watalii pindi wanapoamua kuzunguka mji wenyew.Naomba TTB washughulikie swala hili kwan litaadhiri utalii wetu siku zijazo,kwani watalii hujiona kuwa hawako safe.Ikibidi Tanapa,Ngorongoro Conservation Area waingilie kati.