spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
GreatThinkers,
Nia yangu ni nzuri na hii kampuni ila hii tabia yao si nzuri hata kidogo.
Nilitoa lalamiko kama hili waliturusha bila uwepo wa Life jackets
Sasa jana tena hali hii niliyoishudia january abiria tunakosa hewa kabisa, hali hii n hatari.
Ninaamini wapo survivors wa hili tatizo hata humu JF.
FLY540 kwa nini mnatutesa abiria wenu??????????
Nia yangu ni nzuri na hii kampuni ila hii tabia yao si nzuri hata kidogo.
Nilitoa lalamiko kama hili waliturusha bila uwepo wa Life jackets
Sasa jana tena hali hii niliyoishudia january abiria tunakosa hewa kabisa, hali hii n hatari.
Ninaamini wapo survivors wa hili tatizo hata humu JF.
FLY540 kwa nini mnatutesa abiria wenu??????????