Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,390
- 21,038
Bondia Floyd Mayweather ametangaza pambano la marudiano na Conor McGregor kuwa litafanyika mwaka huu 2020. Kupitia instagram akaunti yake Floyd ameanika hilo kwa kuweka picha inayoonekana juu.
Kwa muda sasa Conor alikuwa akililia pambano la marudiano na Floyd tangu achezee kichapo kwa TKO raundi ya 10, August 26, 2017 kwenye pambano ambalo lilifahamika kama The Money Fight.
Kwa muda sasa Conor alikuwa akililia pambano la marudiano na Floyd tangu achezee kichapo kwa TKO raundi ya 10, August 26, 2017 kwenye pambano ambalo lilifahamika kama The Money Fight.