JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,460
Mayweather atapigana na mpinzani huyo ambaye alishinda mapambano ya kulipwa 18 kati ya 19 aliyocheza alipokuwa akipigana.
Mara ya mwisho kwa Moore kupanda ulingoni ilikuwa mwaka 2018 wakati Mayweather alistaafu mwaka 2017, pambano lake la mwisho ikiwa ni dhidi ya Conor McGregor.
Source: Mirror