Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 54,985
- 27,853
Wengi mtaniunga mikono kama sio Mguu kwa hili
Epukeni sana kuingilia ndoa ya mtu kingine nikiwa kama mshauri wa ndoa za wakubwa na watoto
Nimeona wengi wakiaibika kwakusikiliza watu ama mnenoya nje
Kumbuka maneno ya Mungu Flora
NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE.....
SIO MIMII HII NI BAIBO UNAYOIAMINI KAMA NI HIVYO NIMESIKILIZA SEHEMU MUMEO AKIOMBAA MSAMAHA KWA SHEMEJIYAKO
LEO NI JUMAPILI MALAIKA SI MPAKA UMWONE ANAWEZAPITIA HATA JF HM AKA HABARIMCHANGANYIKO
DADA YANGU KIPENZI USIANGALIE WATU ANGALIA WATOTOWENU ANGALIA FAMILIA YENU MPAKA SASAA MMEJICHAFUAJE???NAJUA BINADAMU TUMEUMBWA WADHAIFU
NAAMINI MZEE WANGU KULOLA ANGEAMKA NA KUKUTA HAYA SASAHIVI ANGEOMBA ARUDI MBINGUNI ALIKOTOKA
TUMKUMBUKE MZEE NA HESHIMA YAKE ..TULINDE UPENDOWAKE..MIMI SIAMINI MKONO WAMTU UMEWAPITIA NAAMINI HILI NI PEPO LIMEQAPITIA LIKAKUTA UDHAIFU WENU BOTHSIDES NOW LINASHEREKEA MATUNDAYAKE LISHINDWE KWA JINA LA YESU
NAKUSHAURI NAKUOMBA NARUDIA TENA NA TENA ANGALIA FAMILIYAKO USIANGALIE WALIONYUMAYAKO WAMASEMA NINI AMA WAMATAKA NINI YATAMYOTOKEA NAAMINI UKIWA DUNIANI UTAKUWASHAHIDI WA MAUMIVU YA MUMEO
DADAYANGU FLORA MSIKILIZE MWENZIO KAENI CHINI KAMA NILIVYOMSIKIA MUMEO ANAKUOMBA MKUTANE UTAKI MWISHO UNAMWAMBIA AJISALLIMISHE KWANZA POLICE ELSE ATAAFIA JELA
MPENDWA AMA WAPENDWA KATIKABWANA HATA MUMEO AKIFUNGWA AMA MKEO MIAKA KAADHAA IPOSIKU UTAPELEKA CHAKULA JELA
NIMEONA NA USHAHIDI WA NDOA ILIOVUNJIKA MKE AKATESEKA SANA KUPELEKA CHAKULA AKIWA NA TALAKAYAKE
MUNGU WA MBINGUNI MUNGU WA MSAMAHA DADA MKAE CHINI MUYAMALIZE
NAAMINI NI MAPITO TU NA KILA JAMBO NA WAKATIWAKE
HITIMISHO
KILA JARIBU LINA MLANGO WA KUTOKEA NAAMINI AKU MWENYE NDOA ATAKAESHAURI MUACHANE ELSE TUNAWAACHIA WENYEWE
HATA COMMENTS UMAZOONA HUMU NYINGI NI USHABIKI USISIKILIZE NA WANAOTAKA MUACHANEWENGI WANAJISAIDIA KWA BABA N MAMA AMA WAMEACHIKA
NAWATAKIA JUMAPILI NJEMA
WOTE WENYE NDOA ZAO WALIOACHIKA NA WANAOFANYA PROCESS ZA KUACHAN
Epukeni sana kuingilia ndoa ya mtu kingine nikiwa kama mshauri wa ndoa za wakubwa na watoto
Nimeona wengi wakiaibika kwakusikiliza watu ama mnenoya nje
Kumbuka maneno ya Mungu Flora
NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE.....
SIO MIMII HII NI BAIBO UNAYOIAMINI KAMA NI HIVYO NIMESIKILIZA SEHEMU MUMEO AKIOMBAA MSAMAHA KWA SHEMEJIYAKO
LEO NI JUMAPILI MALAIKA SI MPAKA UMWONE ANAWEZAPITIA HATA JF HM AKA HABARIMCHANGANYIKO
DADA YANGU KIPENZI USIANGALIE WATU ANGALIA WATOTOWENU ANGALIA FAMILIA YENU MPAKA SASAA MMEJICHAFUAJE???NAJUA BINADAMU TUMEUMBWA WADHAIFU
NAAMINI MZEE WANGU KULOLA ANGEAMKA NA KUKUTA HAYA SASAHIVI ANGEOMBA ARUDI MBINGUNI ALIKOTOKA
TUMKUMBUKE MZEE NA HESHIMA YAKE ..TULINDE UPENDOWAKE..MIMI SIAMINI MKONO WAMTU UMEWAPITIA NAAMINI HILI NI PEPO LIMEQAPITIA LIKAKUTA UDHAIFU WENU BOTHSIDES NOW LINASHEREKEA MATUNDAYAKE LISHINDWE KWA JINA LA YESU
NAKUSHAURI NAKUOMBA NARUDIA TENA NA TENA ANGALIA FAMILIYAKO USIANGALIE WALIONYUMAYAKO WAMASEMA NINI AMA WAMATAKA NINI YATAMYOTOKEA NAAMINI UKIWA DUNIANI UTAKUWASHAHIDI WA MAUMIVU YA MUMEO
DADAYANGU FLORA MSIKILIZE MWENZIO KAENI CHINI KAMA NILIVYOMSIKIA MUMEO ANAKUOMBA MKUTANE UTAKI MWISHO UNAMWAMBIA AJISALLIMISHE KWANZA POLICE ELSE ATAAFIA JELA
MPENDWA AMA WAPENDWA KATIKABWANA HATA MUMEO AKIFUNGWA AMA MKEO MIAKA KAADHAA IPOSIKU UTAPELEKA CHAKULA JELA
NIMEONA NA USHAHIDI WA NDOA ILIOVUNJIKA MKE AKATESEKA SANA KUPELEKA CHAKULA AKIWA NA TALAKAYAKE
MUNGU WA MBINGUNI MUNGU WA MSAMAHA DADA MKAE CHINI MUYAMALIZE
NAAMINI NI MAPITO TU NA KILA JAMBO NA WAKATIWAKE
HITIMISHO
KILA JARIBU LINA MLANGO WA KUTOKEA NAAMINI AKU MWENYE NDOA ATAKAESHAURI MUACHANE ELSE TUNAWAACHIA WENYEWE
HATA COMMENTS UMAZOONA HUMU NYINGI NI USHABIKI USISIKILIZE NA WANAOTAKA MUACHANEWENGI WANAJISAIDIA KWA BABA N MAMA AMA WAMEACHIKA
NAWATAKIA JUMAPILI NJEMA
WOTE WENYE NDOA ZAO WALIOACHIKA NA WANAOFANYA PROCESS ZA KUACHAN