Flora:Mumeo mumeo tu anaitaji msamaha .mengine yabaki Historia

Flora:Mumeo mumeo tu anaitaji msamaha .mengine yabaki Historia

Nilopomuona Flora na mumewe wanaimba kukampenia CCM na Kikwete 2010 nilijua kabisa kumbe hawa sii waimbaji wa Injili bali watafutaji kama wengine wote. Kwa hiyo lazima watafanya mambo yao kama watu wasio na upako.
Mtumishi wa MUNGU wa kweli hajikuti kwenye kashfa chafu lama hizi, hata kama atajikuta kwenye majaribu lakini hayatahusiana na kumchafua maisha yake yote. Nasema maisha yote kwa sababu hata leo Mbasha family irudiane na kuishi pamoja, watu wataendelea kuwaona wazinzi na wachafu tuu ila wamesameheana.


Sent from my iPad using JamiiForums

Hahahaaaaa mume ni mission town alikua analenga kipaji cha mjukuu wa Kulola ili amtumie kupiga hela! Akajifanya kaokoka, akamuoa Flora, mwisho kaanza kutumia kipaji cha Flora kwenda kuomba misaada kwa kina Rostam, Lowassa na matajiri wengine!
Halafu eti anajitetea mi ndo nawajua mapedejee wote Flora hajui mtu lol! Njaa hizi! Funzo kwa wadada waliookoka! Si kila anayekutaka kukuoa ni malaika wa Nuru!
Wengine ni Lucifer kavaa sura ya Gabriel!
Kama ni mume mwenye akili timamu huezi kuja na utetezi eti mbona wewe unatembea na Gwajima halafu mi nimekaa kimya??????
Yaani mkeo anatembea na mwanaume mwingine we upo tuu unasubiri mafao??? No wonder alikua anamuuza mke wake ili kuganga njaa! Shame!
 
Flora kaishanogewa na swaga za kitandani na mchungaji hawez kukuelewa.

mlimkuta??? au mnajichumia dhambi kwa uzushi angalieni ulimi uleta laana,msiwe wepesi kusema mngali hamna uhakika.maana bblia inasema:usimshuhudie jirani yako uongo [kutoka 20:16] wandugu kuweni waangalifu na ulimi juu ya watumishi wa mungu.
 
mlimkuta??? au mnajichumia dhambi kwa uzushi angalieni ulimi uleta laana,msiwe wepesi kusema mngali hamna uhakika.maana bblia inasema:usimshuhudie jirani yako uongo [kutoka 20:16] wandugu kuweni waangalifu na ulimi juu ya watumishi wa mungu.

hawa ni watumishi wa shetani tu.
 
Kweli nimeamini sikuhizi mwanamume ni pesa tu sura ilikua zamani.pole mbasha.NO CONDITION IS PERMANENT.
 
Mi siwasomi kabisaaaa!! Hili saga silielewi nasemaaaa! Mara ooh, amebaka, mara ooh katengenezewa movie na gwajima ooh mheshimiwa sirikalini, mara ooh sauti ile si yake, mara oooohh! Jamani ukweli ni upi haswaaa?
Hii movie khaa!!
 
Pdidy kumbe unajua kuandika kiswahili??....naomba nikupe hongera kwa kushukiwa na roho aliyekupa busara na kukufundisha kuandika!!
 
unambembeleza nini huyo flora? Mume wake ametaka wayamalize yeye hataki,achana naye aje kuona moto,kama alivyouona beatrice muhone,unamwambia habari ya watoto,kwani yeye hajui kuwa ana watoto? Huyo ni mtu mzima anajua nini anafanya. O ya mungu flora


ndoa na iheshimiwe na watu wote.....

Sio mimii hii ni baibo unayoiamini kama ni hivyo nimesikiliza sehemu mumeo akiombaa msamaha kwa shemejiyako

leo ni jumapili malaika si mpaka umwone anawezapitia hata jf hm aka habarimchanganyiko

dada yangu kipenzi usiangalie watu angalia watotowenu angalia familia yenu mpaka sasaa mmejichafuaje???najua binadamu tumeumbwa wadhaifu

naamini mzee wangu kulola angeamka na kukuta haya sasahivi angeomba arudi mbinguni alikotoka

tumkumbuke mzee na heshima yake ..tulinde upendowake..mimi siamini mkono wamtu umewapitia naamini hili ni pepo limeqapitia likakuta udhaifu wenu bothsides now linasherekea matundayake lishindwe kwa jina la yesu

nakushauri nakuomba narudia tena na tena angalia familiyako usiangalie walionyumayako wama

simbembelezi nasimamia maandiko matakaktifu

ndoa na iheshimiwe na watu mkuu ...ujapata machungu ama kuju machungu ya watoto kuishi na mzazi mmoja mungu akupitishie mbali nimeona na leo ninaona uchungu wake mkuu .....samahani kutoa ya ndani sikumjua baba yangu TILL naingia chuo kila akiitwa anadai yuko mkoani ..nilipokwenda udsm ndipo tar 2sept2001 nikagongewa na mtu kufungua ananisalimia anaita jina langu...mara tunaenda sehemu udasa kama una aidia ..anaanza kuniambia mi ni babayko naitwa babapdidy...wacha kabisa kabisa sikutaka kukumbuka mateso ya mzazi wangu mmoja kunisomesha .....nilibaki namwangalia leo hii ni anakula almost robo ya mshahara wangu kwa mwezi usiulize ngapi chk atm

pole mkuu usione tunaandika thread kufurahisha no naamini wapo ndugu za mbasha humu wa flora wakisoma naamini rooho wa bwana atawaongoza kufanikisha hilo ninaliomba kwa mungu warudi wakae chini wakubaliane waliteguka mungu awasamehe waanze maisha mapya

na kama mungu atasaidia kama uko na ndugu wa mbasha ama flora

nitatoa siku tano wakakae bagamoyo kula na kunywa vingine wataamua wenyewe kitandani

na mungu atusikie

sema amen kama unapenda ndoa yao iendelee
 
simbembelezi nasimamia maandiko matakaktifu

ndoa na iheshimiwe na watu mkuu ...ujapata machungu ama kuju machungu ya watoto kuishi na mzazi mmoja mungu akupitishie mbali nimeona na leo ninaona uchungu wake mkuu .....samahani kutoa ya ndani sikumjua baba yangu TILL naingia chuo kila akiitwa anadai yuko mkoani ..nilipokwenda udsm ndipo tar 2sept2001 nikagongewa na mtu kufungua ananisalimia anaita jina langu...mara tunaenda sehemu udasa kama una aidia ..anaanza kuniambia mi ni babayko naitwa babapdidy...wacha kabisa kabisa sikutaka kukumbuka mateso ya mzazi wangu mmoja kunisomesha .....nilibaki namwangalia leo hii ni anakula almost robo ya mshahara wangu kwa mwezi usiulize ngapi chk atm

pole mkuu usione tunaandika thread kufurahisha no naamini wapo ndugu za mbasha humu wa flora wakisoma naamini rooho wa bwana atawaongoza kufanikisha hilo ninaliomba kwa mungu warudi wakae chini wakubaliane waliteguka mungu awasamehe waanze maisha mapya

na kama mungu atasaidia kama uko na ndugu wa mbasha ama flora

nitatoa siku tano wakakae bagamoyo kula na kunywa vingine wataamua wenyewe kitandani

na mungu atusikie

sema amen kama unapenda ndoa yao iendelee

Kumbe unajua kuandika vyema.....Vipi unapiandikaga vile ni Pepo huwa anakuingia...??
 
Pdidy???? Juzi umekuja na swaga hapa za mbasha kusema kuwa mke wake anatembea na kigogo sirkaln, ulipoulizwa redio gan hukujib, hujakaa sawa

Unakuja na ngojera ya kuombana samahan! Duh nnawasiwasi kama unamke!!! Hv unalipwa sh ngap kwa upuuzi huu? Hv anaepaswa kuwa wa kwanza kuamba samahan c ww. Ulie udanganya umma kuwa mbasha kaongea na radion? Hujanishawishi kabisaaaaa, ungekuwa kwenye nchi za sharia adhab yake unaijua ni ku..,gwa..
Watch ur gumba!!! Au touch phone inakuwasha?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom