Mwana va Mutwa
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 460
- 55
Mkuu, mbona huyu ni "kada" wa ccm; na wasee wa ccm wamemtunuku ubunge wa viti maalum ili wasee (EL) waendelee kufaidi ?
Yesu alikula na mtoza kodi Zakayo, ana dhambi gani Lowasa ya kutoalikwa na Mbasha?
Ni vizuri ukanukuu uongo ni upi na ukweli unaoujua wewe ni upi katika hayo sio unaongea kama umetoka maliwato.
Yesu alikula na mtoza kodi Zakayo, ana dhambi gani Lowasa ya kutoalikwa na Mbasha?
Pole sana na hongera sana kwa kushukuriwa na wachangiaji "0" kwa threads zako. kwa majibu yako hayo nahisi una uhusiano wa tambwe hiza.
Mgeni rasmi Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Monduli Mh.Edward Lowassa akiwa pamoja na Mbunge wa Mbinga Magharibi Mh. John Komba na wengineo wakitest ubora wa Studio hiyo kwa kusikiliza baadhi nyimbo kadhaa zilizorekodiwa na studio hiyo ambayo imezinduliwa hivi karibuni nyumbani kwakwe Flora Mbasha (mwenye gauni damu ya mzee) huko Tabata Kisukulu jijni Dar wikiendi hii
Baadhi ya vyombo vya studio hiyo ya Msanii Flora Mbasha vikiwa tayari vimefungwa. Studio hiyo itatumika kurekodi nyimbo za muziki wa Injili na hata kuwasaidia wasanii wachanga wenye vipaji kwa ajili ya kuviendeleza. Flora Mbasha anakuwa mwanamuziki wa kwanza wa kike wa nyimbo za Injili kufungua studio yake mwenyewe
Huyu dada ambaye watu wanaamini ana upako huwa simwelewi,..kwanza nilimwona kavaa manguo ya kijani mwaka jana kikwete alipotangazwa rasmi kuwa mgombea kwa tiketi ya ccm,..nafikiri ni mwanachama wa ccm sababu aliwapigia hata debe wakati wa uchaguzi!!sasa hii ya kumwalika lowasa ndo imeniacha hoi,.lowasa amethibitika beyond reasonable doubt kuwa ni fisadi papa,may be iam wrong lakini sina heshima na huyu dada na gospel zake nilishaacha kuzisikiliza
mgeni rasmi waziri mkuu mstaafu na mbunge wa monduli mh.edward lowassa akiwa pamoja na mbunge wa mbinga magharibi mh. John komba na wengineo wakitest ubora wa studio hiyo kwa kusikiliza baadhi nyimbo kadhaa zilizorekodiwa na studio hiyo ambayo imezinduliwa hivi karibuni nyumbani kwakwe flora mbasha (mwenye gauni damu ya mzee) huko tabata kisukulu jijni dar wikiendi hii
baadhi ya vyombo vya studio hiyo ya msanii flora mbasha vikiwa tayari vimefungwa. Studio hiyo itatumika kurekodi nyimbo za muziki wa injili na hata kuwasaidia wasanii wachanga wenye vipaji kwa ajili ya kuviendeleza. flora mbasha anakuwa mwanamuziki wa kwanza wa kike wa nyimbo za injili kufungua studio yake mwenyewe
huyu dada ambaye watu wanaamini ana upako huwa simwelewi,..kwanza nilimwona kavaa manguo ya kijani mwaka jana kikwete alipotangazwa rasmi kuwa mgombea kwa tiketi ya ccm,..nafikiri ni mwanachama wa ccm sababu aliwapigia hata debe wakati wa uchaguzi!!sasa hii ya kumwalika lowasa ndo imeniacha hoi,.lowasa amethibitika beyond reasonable doubt kuwa ni fisadi papa,may be iam wrong lakini sina heshima na huyu dada na gospel zake nilishaacha kuzisikiliza
Na mkorogo wake naona sasa umekolea! Hadi miguuni sasa ni Fanta!!!!!
Mgeni rasmi Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Monduli Mh.Edward Lowassa akiwa pamoja na Mbunge wa Mbinga Magharibi Mh. John Komba na wengineo wakitest ubora wa Studio hiyo kwa kusikiliza baadhi nyimbo kadhaa zilizorekodiwa na studio hiyo ambayo imezinduliwa hivi karibuni nyumbani kwakwe Flora Mbasha (mwenye gauni damu ya mzee) huko Tabata Kisukulu jijni Dar wikiendi hii
Baadhi ya vyombo vya studio hiyo ya Msanii Flora Mbasha vikiwa tayari vimefungwa. Studio hiyo itatumika kurekodi nyimbo za muziki wa Injili na hata kuwasaidia wasanii wachanga wenye vipaji kwa ajili ya kuviendeleza. Flora Mbasha anakuwa mwanamuziki wa kwanza wa kike wa nyimbo za Injili kufungua studio yake mwenyewe
Huyu dada ambaye watu wanaamini ana upako huwa simwelewi,..kwanza nilimwona kavaa manguo ya kijani mwaka jana kikwete alipotangazwa rasmi kuwa mgombea kwa tiketi ya ccm,..nafikiri ni mwanachama wa ccm sababu aliwapigia hata debe wakati wa uchaguzi!!sasa hii ya kumwalika lowasa ndo imeniacha hoi,.lowasa amethibitika beyond reasonable doubt kuwa ni fisadi papa,may be iam wrong lakini sina heshima na huyu dada na gospel zake nilishaacha kuzisikiliza
1::nilimwona na kavaa nguo za ccm nafikiri mwanachama wa ccm
umeambiwa tukivaa kijani wote ni ccm ama tukienda kwenye sherehe za ccm ni wana ccm akikuliza kadi yake unayo ushahidi
2:lowassa fisadi papa
umeambiwa lowassa yukoo nssr??na kama sio ulitakaa aondoke ccm kwenye mlo
3🙂sina heeshima na huyu dada
umeandikwa wapi heshima inanunuliwa??sidhan kama yeye anaitaj heshima yako hata kidogo...
4)))punguza wivu mwenzio kaona line na wewe tafuta yako tuache wivu wa kijinga soma ulichoandika kabla ya kulalamika
ccm+lowassa+fisadipapa+simheshimu= wapi na wapi
ubarikiwe tena
Sina heshima na huyu dada na gospel zake nilishaacha kuzisikiliza[/COLOR][/SIZE]
hana lolote huyo dada kazi yake ni kujikombakomba kwa wanasiasa kwa kisingizio cha kujificha kwenye nyimbo za injili.the spiritual truth is in one's heart.real